vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Ni ulaya eeh lakini wanacheza ligi daraja la tatu ulaya na wanashuka darajaNi ulaya lkn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ulaya eeh lakini wanacheza ligi daraja la tatu ulaya na wanashuka darajaNi ulaya lkn
Mwaka gani hii?
Mwaka gani? Maana mnaishi katika zama zilizopita wakati tupo zama za sasa.
Mbona unapata presha na game za pre-season?FT Simba 4-1 Batman
Onana
Bocco
Saido
Zimbwe
Aha,sawa kesho mnacheza na friend rangers unasemaje kuhusu hilo?Ni ulaya eeh lakini wanacheza ligi daraja la tatu ulaya na wanashuka daraja
Unachagua mwaka wa kufa?Mwaka gani hii?
Ngoja tumuulize Metacha Mnata, maana alikuwapo langoni 🤣Mwaka gani hii?
Hatuongelei kucheza na nani bali kujisifia kwa kumfunga nani. Tunacheza friend rangers lakini huwezi kukuta wanayanga wanajisifia kama mfanyavyo nyie kwa kumfunga timu inayofheza daraja la tatu na kushuka darajaAha,sawa kesho mnacheza na friend rangers unasemaje kuhusu hilo?
Sawa akikutajia mwaka urudiNgoja tumuulize Metacha Mnata, maana alikuwapo langoni 🤣
AmenitajiaSawa akikutajia mwaka urudi
Bora sisi tumempiga magereza aliye ligi ya mchangani 10-0Kila mtu afurahie mechi zake..
Furahi mkuu kikubwa timu yako inakufurahishaBora sisi tumempiga magereza aliye ligi ya mchangani 10-0
Sa ulitaka walie,??wamecheza na watu wa ulaya wakawakanda nyingi,acha wajisifie,nyie mnacheza na mbuni fc,na magereza fc,mnajisifia nini sasa hapo????Hatuongelei kucheza na nani bali kujisifia kwa kumfunga nani. Tunacheza friend rangers lakini huwezi kukuta wanayanga wanajisifia kama mfanyavyo nyie kwa kumfunga timu inayofheza daraja la tatu na kushuka daraja
Ni timu ya Wafanyakazi wa petrol stationSawa hii Batman sio timu ya daraja la pili huko?
Nasikia skudu kafunga goli moja tu hapaBora sisi tumempiga magereza aliye ligi ya mchangani 10-0
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 MALAMAMAEEE, akirudi nitag Mkuu
DuhBora ingekuwa daraja la pili. Batman alikuwa daraja la nne, na msimu huu kashuka daraja. Kwa hiyo mwaka kesho atakuwa daraja la tano.