Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote. Makalio yake tu yanaonekana sio halisi; ni ya kughushi.Ilo umbo sasa la huyo mrembo ni hatari kwa afya ya macho
Yani haijanoga kwakweli... huyu ndo Caren au malaika?Daaah hiyo shepu mbona kama mdoli?
Wangemtafuta hata msichana mwenye umbo simpo simpo sio umbo la hivyo...msyuuuuu..Yani haijanoga kwakweli... huyu ndo Caren au malaika?
Wangemtafuta hata msichana mwenye umbo simpo simpo sio umbo la hivyo...msyuuuuu..
Huyo sijui ni nani mpendwa...
Au ndo malaika kweli maana huo mpaksundi ni kama wake....
Sasa hizi jezi za simba queen?Klabu ya Simba imezindua jezi mpya maalum kwa ajili ya michuano ya Shirikisho Afrika, Sandaland Tower, Kinondoni.
Soma: Kauli ya Ahmed Ally baada ya droo Kombe la Shirikisho Afrika
Tanzanian perspectivesKwa sasa Sheria Ngowi ameishiwa ubunifu, anatoa jezi za mabaka mabaka. Wale vijana aliokuwa anawatumia wameanzisha kampuni yao
Wazee wa maneno...si mlituita makolo kolo kwa kujaza matangazo leo tena?.Jezi zipo plain sana,zipo kama tshirt za shule
Hata wangeweka vijimistar mistar zingependeza sanaWazee wa maneno...si mlituita makolo kolo kwa kujaza matangazo leo tena?.
Yaani kwetu sisi wanaume huyo ndo saizi zetu, tunaangalia size ya mzigo kwanza😁😁Yani haijanoga kwakweli... huyu ndo Caren au malaika?
Jersey nzuri ila wangeweka "visit Tanzania" kama zamani
Kweli kabisa..mimi huwa nanunua hizo za kimataifa kuliko zile za ligiCola imependeza sana hapo...nikainunue chap....