Apia, yaani jezi za msimu huu yanga ni kali? Vitenge kweli?Ameishiwa kivipi, ni lini katoa jezi mbaya? Mara zote anawachapa kwa jezi Kali amjawai kumzidi kwa jezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apia, yaani jezi za msimu huu yanga ni kali? Vitenge kweli?Ameishiwa kivipi, ni lini katoa jezi mbaya? Mara zote anawachapa kwa jezi Kali amjawai kumzidi kwa jezi
Angalia quality iyo uifikii ata robo, Kuna jezi na Kuna nguo ukiwa na D 2 utaelewa,Apia, yaani jezi za msimu huu yanga ni kali? Vitenge kweli?
Hakuna kitu mzee, ile mitambara ya mwaka huu huwezi linganisha na jezi za simba kamwe, ndiomaana wakosoaji wa UTO hawakuikosoa jezi ya simba bali walikosoa neno SANDAAngalia quality iyo uifikii ata robo, Kuna jezi na Kuna nguo ukiwa na D 2 utaelewa,
Duh..kweli wanaume tunatofautiana sana, hilo umbo plus mikucha afu wigi, hapana aisee 😅Ilo umbo sasa la huyo mrembo ni hatari kwa afya ya macho
Linavutia akiwa kavaa nguoIlo umbo sasa la huyo mrembo ni hatari kwa afya ya macho
Izo za Simba ni jezi nazo, unaangalia quality au unaangalia rangi?Hakuna kitu mzee, ile mitambara ya mwaka huu huwezi linganisha na jezi za simba kamwe, ndiomaana wakosoaji wa UTO hawakuikosoa jezi ya simba bali walikosoa neno SANDA
Bado tu mnavaa Sanda?Simba SC imezindua jezi mpya maalum kwa ajili ya michuano ya Shirikisho Afrika, uzinduzi uliofanyika Sandaland Tower, Kinondoni, Dar es Salaam. Jezi hizo zitaanza kutumika katika mechi dhidi ya FC Bravo ya Angola, katika mchezo wa tarehe 27 Novemba 2024, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Soma: Kauli ya Ahmed Ally baada ya droo Kombe la Shirikisho Afrika
Quqlity uipate bongo acha utani wewe UTOPOLO, Jezi quality unajua bei yake?Izo za Simba ni jezi nazo, unaangalia quality au unaangalia rangi?
Yaan bumunda limevmba.kwer kwerDaaah hiyo shepu mbona kama mdoli?