Simba SC yazindua rasmi uzi mpya wa michuano ya Shirikisho Afrika 2024/25. Waongeza rangi mpya

Simba SC yazindua rasmi uzi mpya wa michuano ya Shirikisho Afrika 2024/25. Waongeza rangi mpya

Uzi umesimama
Blue
Red
White
Io ingine sijui rangi ghani
As it stands👍
 
Hiv uzi wanaotakiwa watangaze n wachezaji au wamama bongo mambo yetu kivyetu vyetu
 
Angalia quality iyo uifikii ata robo, Kuna jezi na Kuna nguo ukiwa na D 2 utaelewa,
Hakuna kitu mzee, ile mitambara ya mwaka huu huwezi linganisha na jezi za simba kamwe, ndiomaana wakosoaji wa UTO hawakuikosoa jezi ya simba bali walikosoa neno SANDA
 
Pesa ya kanji aiendi bure ana itendea haki kila angle ya uzi una mkuta
 
Hakuna kitu mzee, ile mitambara ya mwaka huu huwezi linganisha na jezi za simba kamwe, ndiomaana wakosoaji wa UTO hawakuikosoa jezi ya simba bali walikosoa neno SANDA
Izo za Simba ni jezi nazo, unaangalia quality au unaangalia rangi?
 
Simba SC imezindua jezi mpya maalum kwa ajili ya michuano ya Shirikisho Afrika, uzinduzi uliofanyika Sandaland Tower, Kinondoni, Dar es Salaam. Jezi hizo zitaanza kutumika katika mechi dhidi ya FC Bravo ya Angola, katika mchezo wa tarehe 27 Novemba 2024, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Soma: Kauli ya Ahmed Ally baada ya droo Kombe la Shirikisho Afrika
Bado tu mnavaa Sanda?
 
Back
Top Bottom