Simba SC yazindua rasmi uzi mpya wa michuano ya Shirikisho Afrika 2024/25. Waongeza rangi mpya

Simba SC yazindua rasmi uzi mpya wa michuano ya Shirikisho Afrika 2024/25. Waongeza rangi mpya

Bila hayo huwezi kupata hela ya kumsajili Mavambo. Mara ya kwanza Yanga walikuwa wanaiponda Simba kuwa na wadhamini wengi. Kwa sasa Yanga inaongoza kuwa na wadhamini wengi wadogo wadogo
Hili bango kwangu siwezi vaa aisee, ni sawa uniambie nivae bango la ice-cream🚮🚮
 
kongole mtani umetuluia na rangi zako muhimu 👊
 
Back
Top Bottom