Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tuliunge chama letu...Kweli kabisa..mimi huwa nanunua hizo za kimataifa kuliko zile za ligi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliunge chama letu...Kweli kabisa..mimi huwa nanunua hizo za kimataifa kuliko zile za ligi
Hili bango kwangu siwezi vaa aisee, ni sawa uniambie nivae bango la ice-cream🚮🚮Bila hayo huwezi kupata hela ya kumsajili Mavambo. Mara ya kwanza Yanga walikuwa wanaiponda Simba kuwa na wadhamini wengi. Kwa sasa Yanga inaongoza kuwa na wadhamini wengi wadogo wadogo
Kabisa..jezi hizi pia zinakuwa mbadala kwa wale wasiopemda kutangaza pombe au kamaliTuliunge chama letu...
Kweli kabisaKabisa..jezi hizi pia zinakuwa mbadala kwa wale wasiopemda kutangaza pombe au kamali
Mama pesa anazo hakuna cha bureeJersey nzuri ila wangeweka "visit Tanzania" kama zamani
Huo ujinga hatuutaki tena. Tumefanya hivyo miaka kadhaa bila kupata appreciation kutoka kwa Gavrument. Il Gavrument hiyo hiyo ikawapa kongole kubwa sana Mrs. Tabora United mwaka juzi na mwaka jana.Jersey nzuri ila wangeweka "visit Tanzania" kama zamani
Sisi masheikh tunavaa hizi bila tatizo na kuchangia pato la timu yetuKabisa..jezi hizi pia zinakuwa mbadala kwa wale wasiopemda kutangaza pombe au kamali
Hakuna cha bure sasa hiviHuo ujinga hatuutaki tena. Tumefanya hivyo miaka kadhaa bila kupata appreciation kutoka kwa Gavrument. Il Gavrument hiyo hiyo ikawapa kongole kubwa sana Mrs. Tabora United mwaka juzi na mwaka jana.
Acheni gubu basiHuo ujinga hatuutaki tena. Tumefanya hivyo miaka kadhaa bila kupata appreciation kutoka kwa Gavrument. Il Gavrument hiyo hiyo ikawapa kongole kubwa sana Mrs. Tabora United mwaka juzi na mwaka jana.
Si ndio mngepatana mpige hela za utaliiMama pesa anazo hakuna cha buree
Hakuna kitu hawatoi pesa hao, bora tukomae na MO tuuSi ndio mngepatana mpige hela za utalii
au la asaliHili bango kwangu siwezi vaa aisee, ni sawa uniambie nivae bango la ice-cream
Kijani na njano za Yanga sasa zimezeeka zinatoa rangi za uzeenikongole mtani umetuluia na rangi zako muhimu 👊
Kwani kuna Nyamitaco mwingine zaidi ya Bashite?Sijapenda sana kwanini wamtumie nyamitaco sasa
Mbona tayari na uzi uko humu.Tusubiri uzi wa club bingwa ukitangazwa
hersi tapelKijani na njano za Yanga sasa zimezeeka zinatoa rangi za uzeeni
Ngoja nikaangalieMbona tayari na uzi uko humu.
Kwa wenye vibamia lazima watambezaSijui kwa nini wametumia mtu ana umbo Kama kiroba