Endeleeni kujifariji utopolo FC. Mkija kushituka Simba itakuwa kwenye timu 5 bora barani Afrika.Nimesikitika kwa ulichokiandika, ama kweli Rage alikuwa sahihi.
Umedandia majadiliano ambayo hayakuwa yako, alaf unajizima data.
Kuna sehemu nimesema 20 ni kubwa kuliko 35?. Kuna sehemu nimeongelea habari za position ya Yanga 18 au Simba 8?. Labda kwavile wewe ni mgumu kuelewa, ngoja nikuulize swali, msimu uliopita timu yako imekusanya points ngapi CAF?
Nimekuuliza msimu uliopita timu yako imekusanya points ngapi CAF? Acha kuzunguka, naomba unijibuEndeleeni kujifariji utopolo FC. Mkija kushituka Simba itakuwa kwenye timu 5 bora barani Afrika.
Hapo Yanga ana makombe yote ya ligi kuu, mapinduzi na ngao.
Jidanganye hivyo hivyoMpira ni burudani wala siyo uadui. Utazeeka mapema.
Simba haina medali, haina makombe wa ngao ya jamii. Msimu uliopita Yanga alichukua kombe na ngao.
Pamoja na hayo, kaangalie timu bora Afrika, simba ni ya ngapi na nyie wenye makombe na medali ni wa ngapi?
Wewe komaa na makombe halafu mwisho wa siku utakuja kuiona Simba ipo kwenye timu bora 5 za Africa.
Acha kuteseka sana
Duuh! Huu ni msiba mkubwa watu wanaonyeshwa wasanii badala ya makombe na mataji! Kwani hii Simba ni kikundi cha vigodoro?Maumivu ni makali sana aisee ......😂
Haya ni makombe yako.Kucheza
1. CAF champion league mpk robo fainail ni zaidi ya makombe
2. African super cup ni zaidi ya makombe
3. Kuwa kwenye 10 bora za timu bora Afrika ni moja ya makombe.
A. Hayo makombe Simba haijawahi kuchukua?
B. Hayo makombe ambayo yanga amechukua, yanafika 4 bilion alizopewa Simba km hela ya maandalizi ya kucheza African Super Cup?
Makombe mnayoizidi nayo Yanga ni makombe ya Hedex.Ndiyo utajiuliza kwanini Yanga imecheza mpk fainali shirikisho halafu haipo kwenye African Super cup na Simba iliyocheza Kombe la washindi mpk robo fainali ipo African super cup?
Mkajipange tena. Hiyo ndiyo Simba, hayo makombe Simba ameshachukua sana. Mtajua kuwa Yanga anakimbiza mwenge tu.
Thamani ya hayo makombe yanaweza kufikia Bilion 4 alizochukua Simba kwenda kucheza African Super Cup?
Kama ni mashindano marahisi, tuambie mllivyoshiriki mliishia hatua gani?Hayo mataji aliyochukua Yanga ni ya mchongo.
Huwezi kujigamba una mataji na makombe halafu ukacheza kombe la washindi wa 3 na 4 na waliotolewa CAF champion league.
Malumo timu bora kwenu ameshuka daraja.
Mkuu kunywa maji baridi, naona unateseka sana. Moja bila huko!.Mavi ya kale hayanuki!
Sasa unasherekea au unaomboleza kukosa makombe na mataji!
Piga vita zero Simba!
wamevurugwaMoja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Hayo mazoezi tu!Mkuu kunywa maji baridi, naona unateseka sana. Moja bila huko!.
Sawa. Mechukua makombe misimu miwili, ngao na medani ya kombe la shirikisho.Makombe mnayoizidi nayo Yanga ni makombe ya Hedex.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Naona unateseka sana.Hayo mazoezi tu!
Piga vita zero Simba?
Ndicho kikombe mnataka kutuonyesha au mnashindania kikombe?Naona unateseka sana.
Kama Yanga ipo vizuri, tukutane African Super cup.
Simba inawakera watu. Mashabiki wa yanga wanateseka sana
Vikombe tunawaachia utopolo ndiyo mafanikio yao. Maana African champion league hawawezi kucheza.Ndicho kikombe mnataka kutuonyesha au mnashindania kikombe?
Jitahidini mpate angalau kikombe cha kufutia machozi!
Mnatia huruma! Mnasherekea barua ya mwaliko kama siyo uzuzu ni nini!Vikombe tunawaachia utopolo ndiyo mafanikio yao. Maana African champion league hawawezi kucheza.
2017-2021 misimu 4 mfululizo inatutosha.
Simba tunataka tuitafute list ya timu 5 bora barani Afrika.
Msimu ujao, tunaenda kuweka kambi NEW YORK CITY.
Acha kutetea ujinga! Ingependeza kama kungefanyika maombolezo kujutia kukosa makombe na hivyo kutoa ishara kwa wachezaji kuwa klabu ya mpira raha yake ni kushinda makombe na siyo kukata viuno na wasanii! Vinginevyo anzisheni klabu ya wasanii mkate viuno mpaka basi!
Piga vita zero Simba!
Mimi nina akili zangu timamu, naomba twende sawa kwa kujibu hoja zifuatazoHiyo bold unaniongopea Mimi au wajiongopea mwenyewe mtani? Au unazungumzia makundi yapi?
Kwa miaka 5 mmekusanya points 35, sisi kwa mwaka 1 tumekusanya points 20, nani wa kufurahia hapo? [emoji28]
Kumbe akili unazo alafu unajichetua, hiyo 0.5 ulitumia miaka mingapi kuipata?Umetumia miaka 5 kupata hizo points 35. Mimi nimetumia mwaka mmoja kufikia points 20. Kwa maana nyingine, kabla msimu uliopita haujaanza, Mimi nilikuwa na points 0.5, ila msimu unaisha nina 20.
Umeelewa ninachozungumzia au nikupe muda?
Sasa wewe ndio unajichetua mkuu, maana ulidandia mada juu kwa juu, otherwise usingeuliza ili swali.Kumbe akili unazo alafu unajichetua, hiyo 0.5 ulitumia miaka mingapi kuipata?