Simba Sport Club yafungiwa kusajili kisa Pape Ousmane Sakho

Mwaka wa tabu, zimefika goli 7 sasa, 5 kutoka Yanga, goli la Jezi + goli la Fifa, hadi muimbe Haleluya mwaka huu
 
Jaman Tim zetu mbna Kama bado hazijajipambanua kimataifa zaid kwa kutokuhexhimu Sheria za FIFA
 
Pole sana mkuu yatapita tu

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Hakua kingine ila tatizo ni communication barrier between Simba and Teungueth 😂
 
Ila mbona wanachama walifurahi mno ile siku mara baada ya manzoki kuingia ukumbini?
Wanachama was Simba ni tofauti na wanachama was yanga. Wanachama was yanga Wana uchungu na timu wakati wa Simba wako tayari kuuza kura zao kwa maslahi binafsi. Kama wanachama wangekuwa na uchungu Mangungu na Try again wangeshaondoka zamani.
 
Klabu kubwa Afrika, levo za Ahly, Mamelody… inakuwaje tena kudhulumu hela za usajili hadi kufungiwa?

Hivi Sawadogo alishalipwa?

Mdakuzi
B..., haya mambo ni madogo tu! Kilichotokea ni Simba kulipwa kwa awamu kwa tuliowauzia Sakho, na walitegemea awamu ya pili ya malipo ndiyo walipwe Teungueth.

Lakini, wao wamegomea hilo na wanataka angalau na wao wangelipwa nusu kwa hichohicho ambacho Simba ililipwa nusu. Kwa mambo ya AFL, hakukuwa na muda.

So watalipwa kabla ya dirisha la usajili kufunguliwa na tutasajili kama kawaida.

Ova
 
Maelezo safi kabisa, mngempa mtu smart kama wewe hivi pale idara yenu ya habari msingeshikika kwa ubora wa hicho kitengo.

Hivi ilikuwaje ukawa kolo jamani? Nikimjua aliyesababisha uwe hatutokaa tupatane, mimi kama Mwananchi na kwa maslahi yetu mapana ktk klabu tungepata hiki kichwa tungefika mbali!

Okay, huoni kama ni doa hili tayari? Haya mambo sio ya kuwekwa ktk rekodi za klabu makini, ikija kesi nyingine ya aina hii itakuwa vigumu kwenu kushinda hata kama nyinyi ndio wenye haki!
Tafakari b…
 
Yote yatapita ...

SimbaSC NguvuMoja
 
Ukiendesha club kubwa ya soka hayakosekani haya, ndiyo maana hata Yanga wanasumbuliwa na yule kocha wenu DJ mpaka leo, naye jambo lake liko FIFA.

Ni kawaida tu haya kwenye dunia ya soka. Hata mi naweza aliyefanya ukawa Utopolo, yaani kafanya tuwe na shida sana hata kwenye mazungumzo yetu. lol

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…