Simba Sport Club yafungiwa kusajili kisa Pape Ousmane Sakho

Simba Sport Club yafungiwa kusajili kisa Pape Ousmane Sakho

Ukiendesha club kubwa ya soka hayakosekani haya, ndiyo maana hata Yanga wanasumbuliwa na yule kocha wenu DJ mpaka leo, naye jambo lake liko FIFA.

Ni kawaida tu haya kwenye dunia ya soka. Hata mi naweza aliyefanya ukawa Utopolo, yaani kafanya tuwe na shida sana hata kwenye mazungumzo yetu. lol

Ova
Wa kwanza alikuwa mamangu mdogo, kabla hata sijaanza shule nikiwa mdogo sana nikikosea chochote ananiita “Shabiki wa Yanga wewe”
Ajabu nikawa napenda nacheka tu.

Baadae sasa nimeanza STD 1 mwaka 2000, nikawa najua kusoma nikasoma gazeti la Majira upande wa michezo kukawa na heading “Yanga yawasha indiketa” kukiwa na picha ya Said Maulid SMG…

Pale ndio nilikata shauri la kuwa Yanga kamili, hadi leo b…
 
Mambo yetu haya ndugu yangu.

Tulikubaliana hakuna kuwaonea huruma mpaka wasivuke makundi kwanza, karibia mambo yataanza.
Yaani hizi habari zinanenepesha mifupa yangu.Asec soon watatupatia furaha tena.Tukazane kwenye maombi rafiki yangu haha
 
Wa kwanza alikuwa mamangu mdogo, kabla hata sijaanza shule nikiwa mdogo sana nikikosea chochote ananiita “Shabiki wa Yanga wewe”
Ajabu nikawa napenda nacheka tu.

Baadae sasa nimeanza STD 1 mwaka 2000, nikawa najua kusoma nikasoma gazeti la Majira upande wa michezo kukawa na heading “Yanga yawasha indiketa” kukiwa na picha ya Said Maulid SMG…

Pale ndio nilikata shauri la kuwa Yanga kamili, hadi leo b…
Dah! Kumbe shida ilianzia hapo? Mama mdogo katuletea shida kubwa sisi wengine huku, vile tu tunakupenda ndiyo maana tuko tu na wewe na hiyo Yanga yako. Lol

Ova
 
Dah! Kumbe shida ilianzia hapo? Mama mdogo katuletea shida kubwa sisi wengine huku, vile tu tunakupenda ndiyo maana tuko tu na wewe na hiyo Yanga yako. Lol

Ova
Mimi mission yangu kuu ni kuipata kadi yako ya uwanachama, utalia nakwambia nitakachoifanya!
 
Back
Top Bottom