Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

huyu kocha alipewa contract ya mwaka mmoja na malengo ya kuifikisha simba nusu fainali caf hayajatimia anajua mwisho wa msimu hataongezewa mkataba, ndio maana kaanza kutafuta timu mapema, Asante Kotoko ya Ghana ilikuwa inamtaka
 
Kama yeye angekuwa na final say kwenye transfer tungesema haya ni makosa yake mwenyewe.

Lakini sasa imeuza key players watatu umekwenda kukusanya average players halafu unataka wakupe makombe?

Kama wameshindwa kufikia malengo yao wajiulize kwanza wao wametimiza vipi wajibu wao .?

Huwezi ukapata mafanikio with a squad full of veterans
Kula like kwanza, sikukatalii mzee kwenye usajili waliboronga tena mnoo.

Wewe sasa ndio umeongea point kwamba viongozi wanamsukumia mzigo wa lawama coach, tukubali kuwa timu haichezi vizuri sasa hapa inategemea na mbinu za coach na wachezaji aliokuwa nao, so simba haichezi kitimu ila tatizo lilianzia kwenye usajili. Toka game na u.d songo simba tunaruka ruka tu uwanjani, hakuna mipango kabambe kabisa ya kitimu, na simba ikikutana na timu imeshiba mbinu za mwalimu wanacheza kitimu huwa tunapata tabu, tunashinda sababu uwezo wa wachezaji wetu ni zaidi yao kwa mbali ila tunakuwa tunaruka ruka tu.
 
Mwina Kaduguda anaongea EFM RADIO, 20 billions tzs zimeshaingia tiari kwene account ya simba, hapa tukifanikiwa kuuza na hisa kwa wanachama, waow, sipati picha simba ya baada ya miaka mitatu au minne huko mbele
Na nyie Mmeingiza kiasi? Au hisa ni za Mo pekee....Hisa Asilimia zenu mmenunua? Ka vipi Timu muacheni mhindi na Kocha atamleta mwingine....

Kaduguda anakula bata..hana habari na Hisa zenu.....hamna hela nyie...Mhindi kashamtia mfukoni subirini balaaa, Hati ashakabidhiwa ile ni Dewji Fc...hatari sana
 
Ausems ni bonge la kocha ila anatolewa tu kafara. Wakati wa usajili watu walitahadharisha hapa jamvini kuwa unapomuacha mchezaji kama Kotei, Okwi, Niyonzima unatakiwa ulete wachezaji wenye uwezo zaidi yao. Lakini viongozi walifanya walichojua wao matokeo yake wakaletwa wabrazili ambao uwezo wao ni wa kawaida sana halafu kufungwa na UD Songo, Mwadui na sare ya Prison zigo anaangushiwa Ausems.

Mo bila kuunda timu ya scounting ataendelewa kulishwa matango pori na watu wanomzunguka. Timu ya scounting inahitaji watu wanne au watano tu kutafuta vipaji ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania kwisha. Itaokoa gharama sana na dirisha la usajili likifunguliwa tayari unakuwa na wachezaji mkononi unawasainisha tu kutokana na mahitaji ya timu tena kwa gharama ndogo. Leo Simba na Yanga zinamgombania Bakari Nondo wa Coastal wakati kacheza ligi msimu uliopita. Kama kungekuwa na timu ya scounting kipaji chake kingeonekana mapema badala ya kusubiri kumuona kwenye timu ya taifa. Leo mshahara wa Wawa ukimpa nusu yake Nondo atakupa huduma iliyotukuka au nusu ya mshahara wa Deo Kanda ukampa Miraji Athumani nina hakika atafunga magoli mpaka kwa 'ugoko"

Uongozi na bodi nzima ya Simba ijitathimini yenyewe kwanza na kurekebisha usajili kwenye dirisha dogo badala ya kukimbilia kumtimua Ausems. Kwa Simba ya msimu uliopita ilihitaji tu nyongeza ya wachezaji wasiozidi wanne tu ingekuwa moto. Ilihitajika tu kipa, beki wa kati, kiungo mkabaji (mkata umeme wa ukweli) na mshambuliaji mwenye uwezo kama wa Kagere basi. Na viongozi walipaswa wajue kuwa falsafa ya Ausems ni kushambulia mwanzo mwisho kwa hiyo walihitajika walete watu wa kazi kweli kweli kuanzia mbele lakini badala yake wakaleta wachezaji wanaowajua wao halafu leo wanajitia kumtimua Ausems.

Kwangu mimi Ausems atabaki kuwa bonge la kocha kwani ukilinganisha matokeo anayoyapata mpaka sasa na kikosi kilichosajiliwa anajitahidi sana inabidi apongezwe sio kutimuliwa.
 
Ni kocha mzuri sijaona mapungufu,na pia naamini ule usajili wa wabrazil sio yeye ni pressure kutoka kwa wengine,na usajili wa hao majamaa ndo ulitokucost club bingwa ,wametema kina kotei na okwi halafu wapya waliokuja hadi wazoeane na wengine inachukua mda
Nasubiri iwe ' Confirmed ' na Uongozi wa Simba SC ili niachane rasmi Kushabikia Soka la Bongo. Namkubali Aussems kwa 100%.
 
Nimesikia kocha wenu patrick eti alienda kufanya mazungumzo na totenham hotspurs?
 
Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha Patrick Aussems kwakuwa huwa hataki Wachezaji wakae Kambini muda wote na badala yake huwa anataka Timu ikusanyike Siku mbili kabla ya Mechi.

Sasa kama Simba SC tumeshakubaliana Kuingia katika Mfumo wa Kisasa ni kwanini tena tunakuwa na Mawazo ya Kiswahili Kiswahili hivi? Hivi Vilabu vikubwa na vyenye Maendeleo makubwa duniani Wachezaji wao huwa wanashinda tu Kambini Msimu mzima wa Ligi kama wako Shule za ' Bodingi ' ambazo wengi wetu tumepita huko?

Maoni yangu kama GENTAMYCINE na naomba mnisikie Kiumakini kabisa ni kwamba kama kuna Kocha ambaye Simba SC tunaweza kuwa tumepata bahati ya kuwa nae basi ni huyu Patrick Aussems. Nina Wachezaji Waandamizi kabisa wa Simba SC na mwingine sasa anacheza nchi nyingine wote kila ninapozungumza nao wanasema hawajaona tatizo la Kocha Aussems hasa Kimbinu na Kiufundi na Kuondoka Kwake kutaiathiri Klabu kwa Kiasi kikubwa mno.

Sikatai Aussems kama Binadamu anaweza akawa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila tukisema tumfanyie ' Assessment ' hakuna Mtu ambaye anaujua vyema Mpira na amewahi pia Kuucheza anaweza kukubali Kocha Aussems afukuzwe Klabuni. Moja ya Sifa Kuu ya Kocha japo zipo nyingi ni Kocha kuwa na Upendo na Ukaribu hasa wa Kiurafiki na Wachezaji wake kwani hii husaidia Yeye kuweza Kupitisha Mafunzo yake Kiurahisi kabisa na akafanikiwa. Hili Kocha Aussems amefanikiwa nalo kwa 100% ndani ya Klabu ya Simba.

Hivi Kocha ambaye hadi hivi sasa ameifanya Simba SC iongoze Ligi, Timu inacheza vizuri na hata kama huwa inafungwa au inatoka Sare nayo ni sehemu ya Mchezo kwani Falsafa ya Mpira duniani kote inasema kuwa Mpira ni Mchezo wa Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare. Simba SC isifungwe au isitoke Sare yenyewe ni nani? Ni Timu ya Mungu? Kama ni sababu za Kiufundi Kocha Aussems hana tatizo ndani ya Simba SC ila kama Kocha Aussems anafukuzwa pengine kwakuwa hapendi Ujinga, Utoto na Upumbavu tena ule wa Kupangiwa Kikosi au wa kutoa 10% kwa baadhi ya Watu wa karibu wa Simba SC na Viongozi basi ni sawa afukuzwe tu na Mimi GENTAMYCINE nitapiga Goti kwa Mungu ili niiombee ' Laana ' Klabu yangu hii pendwa ya Simba SC.

Mwisho najua na nina uhakika kuwa ' Mwekezaji ' wa Simba SC ' Tajiri ' Mohammed Mo Dewji ni Mdau mzuri na mkubwa wa huu Mtandao wa JamiiForums, tunae hapa 24/7 japo huwa hakai muda mwingi kutokana na Ratiba zake lakini pia ni Mtu ambaye huwa anapenda Kunisoma GENTAMYCINE. Hivyo basi namwomba ( nakuomba ) Mohammed Dewji hebu na Wewe acha Kuingizwa katika huu ' Uswahili ' wa baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' ambao wanakudanganya kuhusu Kocha Patrick Aussems na Wewe unawaamini na Kukubali kuwa atimuliwe.

Nina uhakika tena wa 100% kama Kocha Patrick Aussems atabaki Simba SC, akiaminiwa zaidi, akipewa Ushirikiano, Uweledi ukitawala ndani ya Uendeshaji wa Timu yetu ya Simba, akaongozewa Wachezaji Wawili au Watatu tu ( hasa Washambuliaji ), tukaachana na hawa Wabrazili wa ' Madili ' huku tukijitahidi Kuwarudisha akina James Kotei na Emanuel Okwi Simba SC itafanya vyema si tu katika Ligi Kuu yetu y VPL bali hata katika Mashindano ya Kimataifa ya Barani Afrika.

GENTAMYCINE nakataa na nasema Kocha Patrick Aussems asifukuzwe ndani ya Klabu yetu ya Simba kwani tutakuja Kujuta.
Natamani Mungu aihadhibu Simba kwa kutokuwa na shukrani kwa Kocha aliyewapa mafanikio.
 
Nimeelewa kwanini Mkwabi alijiondoa kaduguda ni mpayukaji niliishangaa Simba kumwacha okwi kisa anataka pesa nyingo halafu unaenda kusajili ajibu hata haruna shamte walimsajili dkk za mwisho wakati ilijulikana muda mrefu kapombe akiumia hatuna mbadala bocco Ana tatizo la kuumia Mara kwa Mara tulipaswa ama tuongeze fowadi wa nguvu asaidie timu huyu mo ndio anataka kushindana na tp mazembe wakati anashindwa kuzuia wachezaji Bora wasiondoke
 
Mwina Kaduguda anaongea EFM RADIO, 20 billions tzs zimeshaingia tiari kwene account ya simba, hapa tukifanikiwa kuuza na hisa kwa wanachama, waow, sipati picha simba ya baada ya miaka mitatu au minne huko mbele
Ah....Kaduguda sio wa kumuamini ndugu pale alikuwa Swedi wameona pasua kichwa ndio akaletwa huyu kimkakati!
 
Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha Patrick Aussems kwakuwa huwa hataki Wachezaji wakae Kambini muda wote na badala yake huwa anataka Timu ikusanyike Siku mbili kabla ya Mechi.

Sasa kama Simba SC tumeshakubaliana Kuingia katika Mfumo wa Kisasa ni kwanini tena tunakuwa na Mawazo ya Kiswahili Kiswahili hivi? Hivi Vilabu vikubwa na vyenye Maendeleo makubwa duniani Wachezaji wao huwa wanashinda tu Kambini Msimu mzima wa Ligi kama wako Shule za ' Bodingi ' ambazo wengi wetu tumepita huko?

Maoni yangu kama GENTAMYCINE na naomba mnisikie Kiumakini kabisa ni kwamba kama kuna Kocha ambaye Simba SC tunaweza kuwa tumepata bahati ya kuwa nae basi ni huyu Patrick Aussems. Nina Wachezaji Waandamizi kabisa wa Simba SC na mwingine sasa anacheza nchi nyingine wote kila ninapozungumza nao wanasema hawajaona tatizo la Kocha Aussems hasa Kimbinu na Kiufundi na Kuondoka Kwake kutaiathiri Klabu kwa Kiasi kikubwa mno.

Sikatai Aussems kama Binadamu anaweza akawa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila tukisema tumfanyie ' Assessment ' hakuna Mtu ambaye anaujua vyema Mpira na amewahi pia Kuucheza anaweza kukubali Kocha Aussems afukuzwe Klabuni. Moja ya Sifa Kuu ya Kocha japo zipo nyingi ni Kocha kuwa na Upendo na Ukaribu hasa wa Kiurafiki na Wachezaji wake kwani hii husaidia Yeye kuweza Kupitisha Mafunzo yake Kiurahisi kabisa na akafanikiwa. Hili Kocha Aussems amefanikiwa nalo kwa 100% ndani ya Klabu ya Simba.

Hivi Kocha ambaye hadi hivi sasa ameifanya Simba SC iongoze Ligi, Timu inacheza vizuri na hata kama huwa inafungwa au inatoka Sare nayo ni sehemu ya Mchezo kwani Falsafa ya Mpira duniani kote inasema kuwa Mpira ni Mchezo wa Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare. Simba SC isifungwe au isitoke Sare yenyewe ni nani? Ni Timu ya Mungu? Kama ni sababu za Kiufundi Kocha Aussems hana tatizo ndani ya Simba SC ila kama Kocha Aussems anafukuzwa pengine kwakuwa hapendi Ujinga, Utoto na Upumbavu tena ule wa Kupangiwa Kikosi au wa kutoa 10% kwa baadhi ya Watu wa karibu wa Simba SC na Viongozi basi ni sawa afukuzwe tu na Mimi GENTAMYCINE nitapiga Goti kwa Mungu ili niiombee ' Laana ' Klabu yangu hii pendwa ya Simba SC.

Mwisho najua na nina uhakika kuwa ' Mwekezaji ' wa Simba SC ' Tajiri ' Mohammed Mo Dewji ni Mdau mzuri na mkubwa wa huu Mtandao wa JamiiForums, tunae hapa 24/7 japo huwa hakai muda mwingi kutokana na Ratiba zake lakini pia ni Mtu ambaye huwa anapenda Kunisoma GENTAMYCINE. Hivyo basi namwomba ( nakuomba ) Mohammed Dewji hebu na Wewe acha Kuingizwa katika huu ' Uswahili ' wa baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' ambao wanakudanganya kuhusu Kocha Patrick Aussems na Wewe unawaamini na Kukubali kuwa atimuliwe.

Nina uhakika tena wa 100% kama Kocha Patrick Aussems atabaki Simba SC, akiaminiwa zaidi, akipewa Ushirikiano, Uweledi ukitawala ndani ya Uendeshaji wa Timu yetu ya Simba, akaongozewa Wachezaji Wawili au Watatu tu ( hasa Washambuliaji ), tukaachana na hawa Wabrazili wa ' Madili ' huku tukijitahidi Kuwarudisha akina James Kotei na Emanuel Okwi Simba SC itafanya vyema si tu katika Ligi Kuu yetu y VPL bali hata katika Mashindano ya Kimataifa ya Barani Afrika.

GENTAMYCINE nakataa na nasema Kocha Patrick Aussems asifukuzwe ndani ya Klabu yetu ya Simba kwani tutakuja Kujuta.
Umeshauri vizuri sana mkuu, ila mpaka leo mimi sijaekewa sababu ya msingi ya Simba kuwaacha Okwi na Kotei wakati wakijua mbee yao wanakabiliwa na mashindano ya klabu bingwa, uswahili, uswahili unaharibu sana mpira wetu.
 
Bila shaka wewe mtoa mada utakuwa na 10% kutoka kwa Mwalimu kama hao viongozi uliosema yawezekana wanataka hyo %. Sisi wanasimba kindakindaki tumechoka na uswahili Wa uongozi mzima pamoja na huyo beberu wako.
Na kuna wachezaji wengine pale uzee umeshaanza kuwataabisha, na miongoni mwao ni Kagere, Bocco, Wawa na Kapombe. Kwa nini tusifate nyayo za watani wetu Young Africans Sports Club "The Citizen Team" ambao kwa sasa wameanza kujiongoza kisasa zaidi!?
 
Bongo kocha anapewa mkataba wa miaka miwili ashinde ligi na afike makundi ligi ya mabingwa
 
Bila shaka wewe mtoa mada utakuwa na 10% kutoka kwa Mwalimu kama hao viongozi uliosema yawezekana wanataka hyo %. Sisi wanasimba kindakindaki tumechoka na uswahili Wa uongozi mzima pamoja na huyo beberu wako.
Na kuna wachezaji wengine pale uzee umeshaanza kuwataabisha, na miongoni mwao ni Kagere, Bocco, Wawa na Kapombe. Kwa nini tusifate nyayo za watani wetu Young Africans Sports Club "The Citizen Team" ambao kwa sasa wameanza kujiongoza kisasa zaidi!?
He makubwa ...Yanga hi ya Jangwani au unamaanisha kitu kingine!
 
Simba ilivurugwa na waswahili ila mzigo anataka kuangushiwa Patrick Aussems.

Ukiangalia kikosi cha simba 75% wako above 30 unategemea timu ya ushindani kwa hao veterans?

Timu imetwaa ubingwa unawaacha key players unaenda kukusanya lundo la average players na kuanza kutamba kwenye media kuwa utafanya vizuri ?

Hivi kweli Simba hawakumuona Bakary Nondo Mwamnyeto au Timothy Awany kama replacement ya Juuko Murshid badala yake wakaenda kuleta hiyo mizigo ya kibrazil na yule rasta wa Singida United ?

Hivi kweli Simba hawakumuona Allan Okello wa KCCA ya Uganda kama replacement ya Emanuel Okwi badala yake wanaenda kutuletea huyo mzee Deo Kanda na Wilker ?

Hivi Simba hawakumuona Tadeo Muwanga wa Vipers ya Uganda kama replacement ya Kotei badala yake wakaenda kutuletea Fraga asiye na uwezo wa kuhold hata mpira ?

Kama waliweza kumuona Kahata walishindwa kumuona Fred Kulembe kwenye mashindano ya Afcon kama back up ya chama na replacement ya Niyonzima?

Hivi walimsajili Ibrahim Ajib wa nini wakati hana matumizi na hana msaada wowote kwa timu kwanini wasingeweka pesa walau kwa Eliud Ambokile wa Mbeya city badala ya huyu jackal of all trades but master of none ?

Hivi Haruna Shamte na Gadiel waliwasajili wa nini wakati uwezo wao ni mdogo kwanini wasingeenda kubomoa fullback zote za Azam na kuzihamishia simba tu badala ya kuanza kuhangaika na hao wavuta bangi ?

Simba kama wanamfukuza Aussems basi watakuwa wametukosea sana sisi mashabiki wao.
Kiufupi viongozi waliosajiri wachezaji wa style mmoja ni wapumbavu kweli wachezaji hawachezi direct football wanazunguka na mpira nyuzi 360 ,Ajib,chama,kahata,shiboub wote wanamchezo unafanana tu ,wabrazil ni bure kabisa ,ninaimisi simba ya mwaka Jana ilihitaji beki tu na replacement ya boko kufika fainali au nusu club bingwa Africa ,simba ya Leo bila miraji Athuman inayumba ,kweli simba tumefika huku?wao wamtimue kocha sisi hatutakwenda uwanjani wapumbavu sana
 
Unalosema laeza kuwa sahihi, mimi nahisi kuna kimgogoro fulani kinaendelea kati ya kocha na uongozi, Simba tunajua kabsa tatizo letu lipo pale mbele kwene ushambuliaji but walichofanya kwene usajili wanajua wao kwakweli, yaani hakuna haja ya kumfukuza kocha ila tuongeze uweledi zaidi, tusikilize maoni ya kocha, ili timu iende kisasa zaidi, !! Ushauri wangu tuondoe ile brazilians yote, na tuongezefowards matata mbele, na kiungo mkata umeme kusaidiana na mzamiru, na mkude!!
Kosa la Brazillians ni lipi elezea kimpira
 
Back
Top Bottom