Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Kula like kwanza, sikukatalii mzee kwenye usajili waliboronga tena mnoo.
Wewe sasa ndio umeongea point kwamba viongozi wanamsukumia mzigo wa lawama coach, tukubali kuwa timu haichezi vizuri sasa hapa inategemea na mbinu za coach na wachezaji aliokuwa nao, so simba haichezi kitimu ila tatizo lilianzia kwenye usajili. Toka game na u.d songo simba tunaruka ruka tu uwanjani, hakuna mipango kabambe kabisa ya kitimu, na simba ikikutana na timu imeshiba mbinu za mwalimu wanacheza kitimu huwa tunapata tabu, tunashinda sababu uwezo wa wachezaji wetu ni zaidi yao kwa mbali ila tunakuwa tunaruka ruka tu.
Na nyie Mmeingiza kiasi? Au hisa ni za Mo pekee....Hisa Asilimia zenu mmenunua? Ka vipi Timu muacheni mhindi na Kocha atamleta mwingine....Mwina Kaduguda anaongea EFM RADIO, 20 billions tzs zimeshaingia tiari kwene account ya simba, hapa tukifanikiwa kuuza na hisa kwa wanachama, waow, sipati picha simba ya baada ya miaka mitatu au minne huko mbele
Nasubiri iwe ' Confirmed ' na Uongozi wa Simba SC ili niachane rasmi Kushabikia Soka la Bongo. Namkubali Aussems kwa 100%.
Natamani Mungu aihadhibu Simba kwa kutokuwa na shukrani kwa Kocha aliyewapa mafanikio.Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha Patrick Aussems kwakuwa huwa hataki Wachezaji wakae Kambini muda wote na badala yake huwa anataka Timu ikusanyike Siku mbili kabla ya Mechi.
Sasa kama Simba SC tumeshakubaliana Kuingia katika Mfumo wa Kisasa ni kwanini tena tunakuwa na Mawazo ya Kiswahili Kiswahili hivi? Hivi Vilabu vikubwa na vyenye Maendeleo makubwa duniani Wachezaji wao huwa wanashinda tu Kambini Msimu mzima wa Ligi kama wako Shule za ' Bodingi ' ambazo wengi wetu tumepita huko?
Maoni yangu kama GENTAMYCINE na naomba mnisikie Kiumakini kabisa ni kwamba kama kuna Kocha ambaye Simba SC tunaweza kuwa tumepata bahati ya kuwa nae basi ni huyu Patrick Aussems. Nina Wachezaji Waandamizi kabisa wa Simba SC na mwingine sasa anacheza nchi nyingine wote kila ninapozungumza nao wanasema hawajaona tatizo la Kocha Aussems hasa Kimbinu na Kiufundi na Kuondoka Kwake kutaiathiri Klabu kwa Kiasi kikubwa mno.
Sikatai Aussems kama Binadamu anaweza akawa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila tukisema tumfanyie ' Assessment ' hakuna Mtu ambaye anaujua vyema Mpira na amewahi pia Kuucheza anaweza kukubali Kocha Aussems afukuzwe Klabuni. Moja ya Sifa Kuu ya Kocha japo zipo nyingi ni Kocha kuwa na Upendo na Ukaribu hasa wa Kiurafiki na Wachezaji wake kwani hii husaidia Yeye kuweza Kupitisha Mafunzo yake Kiurahisi kabisa na akafanikiwa. Hili Kocha Aussems amefanikiwa nalo kwa 100% ndani ya Klabu ya Simba.
Hivi Kocha ambaye hadi hivi sasa ameifanya Simba SC iongoze Ligi, Timu inacheza vizuri na hata kama huwa inafungwa au inatoka Sare nayo ni sehemu ya Mchezo kwani Falsafa ya Mpira duniani kote inasema kuwa Mpira ni Mchezo wa Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare. Simba SC isifungwe au isitoke Sare yenyewe ni nani? Ni Timu ya Mungu? Kama ni sababu za Kiufundi Kocha Aussems hana tatizo ndani ya Simba SC ila kama Kocha Aussems anafukuzwa pengine kwakuwa hapendi Ujinga, Utoto na Upumbavu tena ule wa Kupangiwa Kikosi au wa kutoa 10% kwa baadhi ya Watu wa karibu wa Simba SC na Viongozi basi ni sawa afukuzwe tu na Mimi GENTAMYCINE nitapiga Goti kwa Mungu ili niiombee ' Laana ' Klabu yangu hii pendwa ya Simba SC.
Mwisho najua na nina uhakika kuwa ' Mwekezaji ' wa Simba SC ' Tajiri ' Mohammed Mo Dewji ni Mdau mzuri na mkubwa wa huu Mtandao wa JamiiForums, tunae hapa 24/7 japo huwa hakai muda mwingi kutokana na Ratiba zake lakini pia ni Mtu ambaye huwa anapenda Kunisoma GENTAMYCINE. Hivyo basi namwomba ( nakuomba ) Mohammed Dewji hebu na Wewe acha Kuingizwa katika huu ' Uswahili ' wa baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' ambao wanakudanganya kuhusu Kocha Patrick Aussems na Wewe unawaamini na Kukubali kuwa atimuliwe.
Nina uhakika tena wa 100% kama Kocha Patrick Aussems atabaki Simba SC, akiaminiwa zaidi, akipewa Ushirikiano, Uweledi ukitawala ndani ya Uendeshaji wa Timu yetu ya Simba, akaongozewa Wachezaji Wawili au Watatu tu ( hasa Washambuliaji ), tukaachana na hawa Wabrazili wa ' Madili ' huku tukijitahidi Kuwarudisha akina James Kotei na Emanuel Okwi Simba SC itafanya vyema si tu katika Ligi Kuu yetu y VPL bali hata katika Mashindano ya Kimataifa ya Barani Afrika.
GENTAMYCINE nakataa na nasema Kocha Patrick Aussems asifukuzwe ndani ya Klabu yetu ya Simba kwani tutakuja Kujuta.
Ah....Kaduguda sio wa kumuamini ndugu pale alikuwa Swedi wameona pasua kichwa ndio akaletwa huyu kimkakati!Mwina Kaduguda anaongea EFM RADIO, 20 billions tzs zimeshaingia tiari kwene account ya simba, hapa tukifanikiwa kuuza na hisa kwa wanachama, waow, sipati picha simba ya baada ya miaka mitatu au minne huko mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaahNimesikia kocha wenu patrick eti alienda kufanya mazungumzo na totenham hotspurs?
Umeshauri vizuri sana mkuu, ila mpaka leo mimi sijaekewa sababu ya msingi ya Simba kuwaacha Okwi na Kotei wakati wakijua mbee yao wanakabiliwa na mashindano ya klabu bingwa, uswahili, uswahili unaharibu sana mpira wetu.Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha Patrick Aussems kwakuwa huwa hataki Wachezaji wakae Kambini muda wote na badala yake huwa anataka Timu ikusanyike Siku mbili kabla ya Mechi.
Sasa kama Simba SC tumeshakubaliana Kuingia katika Mfumo wa Kisasa ni kwanini tena tunakuwa na Mawazo ya Kiswahili Kiswahili hivi? Hivi Vilabu vikubwa na vyenye Maendeleo makubwa duniani Wachezaji wao huwa wanashinda tu Kambini Msimu mzima wa Ligi kama wako Shule za ' Bodingi ' ambazo wengi wetu tumepita huko?
Maoni yangu kama GENTAMYCINE na naomba mnisikie Kiumakini kabisa ni kwamba kama kuna Kocha ambaye Simba SC tunaweza kuwa tumepata bahati ya kuwa nae basi ni huyu Patrick Aussems. Nina Wachezaji Waandamizi kabisa wa Simba SC na mwingine sasa anacheza nchi nyingine wote kila ninapozungumza nao wanasema hawajaona tatizo la Kocha Aussems hasa Kimbinu na Kiufundi na Kuondoka Kwake kutaiathiri Klabu kwa Kiasi kikubwa mno.
Sikatai Aussems kama Binadamu anaweza akawa na Matatizo ( Mapungufu ) yake ila tukisema tumfanyie ' Assessment ' hakuna Mtu ambaye anaujua vyema Mpira na amewahi pia Kuucheza anaweza kukubali Kocha Aussems afukuzwe Klabuni. Moja ya Sifa Kuu ya Kocha japo zipo nyingi ni Kocha kuwa na Upendo na Ukaribu hasa wa Kiurafiki na Wachezaji wake kwani hii husaidia Yeye kuweza Kupitisha Mafunzo yake Kiurahisi kabisa na akafanikiwa. Hili Kocha Aussems amefanikiwa nalo kwa 100% ndani ya Klabu ya Simba.
Hivi Kocha ambaye hadi hivi sasa ameifanya Simba SC iongoze Ligi, Timu inacheza vizuri na hata kama huwa inafungwa au inatoka Sare nayo ni sehemu ya Mchezo kwani Falsafa ya Mpira duniani kote inasema kuwa Mpira ni Mchezo wa Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare. Simba SC isifungwe au isitoke Sare yenyewe ni nani? Ni Timu ya Mungu? Kama ni sababu za Kiufundi Kocha Aussems hana tatizo ndani ya Simba SC ila kama Kocha Aussems anafukuzwa pengine kwakuwa hapendi Ujinga, Utoto na Upumbavu tena ule wa Kupangiwa Kikosi au wa kutoa 10% kwa baadhi ya Watu wa karibu wa Simba SC na Viongozi basi ni sawa afukuzwe tu na Mimi GENTAMYCINE nitapiga Goti kwa Mungu ili niiombee ' Laana ' Klabu yangu hii pendwa ya Simba SC.
Mwisho najua na nina uhakika kuwa ' Mwekezaji ' wa Simba SC ' Tajiri ' Mohammed Mo Dewji ni Mdau mzuri na mkubwa wa huu Mtandao wa JamiiForums, tunae hapa 24/7 japo huwa hakai muda mwingi kutokana na Ratiba zake lakini pia ni Mtu ambaye huwa anapenda Kunisoma GENTAMYCINE. Hivyo basi namwomba ( nakuomba ) Mohammed Dewji hebu na Wewe acha Kuingizwa katika huu ' Uswahili ' wa baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' ambao wanakudanganya kuhusu Kocha Patrick Aussems na Wewe unawaamini na Kukubali kuwa atimuliwe.
Nina uhakika tena wa 100% kama Kocha Patrick Aussems atabaki Simba SC, akiaminiwa zaidi, akipewa Ushirikiano, Uweledi ukitawala ndani ya Uendeshaji wa Timu yetu ya Simba, akaongozewa Wachezaji Wawili au Watatu tu ( hasa Washambuliaji ), tukaachana na hawa Wabrazili wa ' Madili ' huku tukijitahidi Kuwarudisha akina James Kotei na Emanuel Okwi Simba SC itafanya vyema si tu katika Ligi Kuu yetu y VPL bali hata katika Mashindano ya Kimataifa ya Barani Afrika.
GENTAMYCINE nakataa na nasema Kocha Patrick Aussems asifukuzwe ndani ya Klabu yetu ya Simba kwani tutakuja Kujuta.
He makubwa ...Yanga hi ya Jangwani au unamaanisha kitu kingine!Bila shaka wewe mtoa mada utakuwa na 10% kutoka kwa Mwalimu kama hao viongozi uliosema yawezekana wanataka hyo %. Sisi wanasimba kindakindaki tumechoka na uswahili Wa uongozi mzima pamoja na huyo beberu wako.
Na kuna wachezaji wengine pale uzee umeshaanza kuwataabisha, na miongoni mwao ni Kagere, Bocco, Wawa na Kapombe. Kwa nini tusifate nyayo za watani wetu Young Africans Sports Club "The Citizen Team" ambao kwa sasa wameanza kujiongoza kisasa zaidi!?
Nimesikia kocha wenu patrick eti alienda kufanya mazungumzo na totenham hotspurs?
Kiufupi viongozi waliosajiri wachezaji wa style mmoja ni wapumbavu kweli wachezaji hawachezi direct football wanazunguka na mpira nyuzi 360 ,Ajib,chama,kahata,shiboub wote wanamchezo unafanana tu ,wabrazil ni bure kabisa ,ninaimisi simba ya mwaka Jana ilihitaji beki tu na replacement ya boko kufika fainali au nusu club bingwa Africa ,simba ya Leo bila miraji Athuman inayumba ,kweli simba tumefika huku?wao wamtimue kocha sisi hatutakwenda uwanjani wapumbavu sanaSimba ilivurugwa na waswahili ila mzigo anataka kuangushiwa Patrick Aussems.
Ukiangalia kikosi cha simba 75% wako above 30 unategemea timu ya ushindani kwa hao veterans?
Timu imetwaa ubingwa unawaacha key players unaenda kukusanya lundo la average players na kuanza kutamba kwenye media kuwa utafanya vizuri ?
Hivi kweli Simba hawakumuona Bakary Nondo Mwamnyeto au Timothy Awany kama replacement ya Juuko Murshid badala yake wakaenda kuleta hiyo mizigo ya kibrazil na yule rasta wa Singida United ?
Hivi kweli Simba hawakumuona Allan Okello wa KCCA ya Uganda kama replacement ya Emanuel Okwi badala yake wanaenda kutuletea huyo mzee Deo Kanda na Wilker ?
Hivi Simba hawakumuona Tadeo Muwanga wa Vipers ya Uganda kama replacement ya Kotei badala yake wakaenda kutuletea Fraga asiye na uwezo wa kuhold hata mpira ?
Kama waliweza kumuona Kahata walishindwa kumuona Fred Kulembe kwenye mashindano ya Afcon kama back up ya chama na replacement ya Niyonzima?
Hivi walimsajili Ibrahim Ajib wa nini wakati hana matumizi na hana msaada wowote kwa timu kwanini wasingeweka pesa walau kwa Eliud Ambokile wa Mbeya city badala ya huyu jackal of all trades but master of none ?
Hivi Haruna Shamte na Gadiel waliwasajili wa nini wakati uwezo wao ni mdogo kwanini wasingeenda kubomoa fullback zote za Azam na kuzihamishia simba tu badala ya kuanza kuhangaika na hao wavuta bangi ?
Simba kama wanamfukuza Aussems basi watakuwa wametukosea sana sisi mashabiki wao.
Kosa la Brazillians ni lipi elezea kimpiraUnalosema laeza kuwa sahihi, mimi nahisi kuna kimgogoro fulani kinaendelea kati ya kocha na uongozi, Simba tunajua kabsa tatizo letu lipo pale mbele kwene ushambuliaji but walichofanya kwene usajili wanajua wao kwakweli, yaani hakuna haja ya kumfukuza kocha ila tuongeze uweledi zaidi, tusikilize maoni ya kocha, ili timu iende kisasa zaidi, !! Ushauri wangu tuondoe ile brazilians yote, na tuongezefowards matata mbele, na kiungo mkata umeme kusaidiana na mzamiru, na mkude!!