Simba Sports Club imeshika no 6 ya Club bora Africa

Simba Sports Club imeshika no 6 ya Club bora Africa

Last emperor

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
10,351
Reaction score
9,855
Greetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa

Screenshot_20211209-160540_1.jpg
 
Endeleeni na upuuzi wenu,ni kweli Yanga ndani ya hii miaka 4 hakuna tulichofanya mna haki ya kuwa juu yetu ila tulizeni akili basi japo kdg kuweni wafatiliaji sio kudandia dandia tu mambo juujuu mmefanya vizuri hongera zenu ila hampo no.6 muandishi hata kuandika Al ahly hawezi kaandika al ahli bado mnamuamini?
IMG_20211209_180940.jpg
 
Uto nendeni CAS mkashtaki haya ni manyanyaso.
fact

Ikiwa CAF walitoa rank ndani ya msimu huu kwa timu zote zilizopata nafasi ya kucheza champions league na confederation cup na Simba kuwaweka simba nafasi ya 16 kulingana na point alizopata, labda ni CUF pekee ya lipumba ndio inaweza kuipaisha timu iliyofanya vibaya klabu bingwa kwa kuiweka juu.
Ni CUF pekee ya lipumba inayoweza kuishusha timu zenye 15 zilizoipita Simba point. Lakini CAF shirikisho la soka barani Africa hawako mbumbumbu kiasi hiko
 
Back
Top Bottom