Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Utopox 😂😂😂Wapi utopwinyo. Utokambwili fc ..?
Utopwiiiii?.?Utopox 😂😂😂
Mamamake na hapo naskia imepanda
Halafu eti hili tutusa ni moja kati ya waandishi wa maana kwenye mpira. Hii Nchi tuna shida kila sehemu. Hata akili ya mtoto wa chekechea ingehoji uhalali wa hiyo taarifa. Ila lenyewe bila hata kuhoji likapost. Kweli mwandishi wa mchongo huyu boya
factUto nendeni CAS mkashtaki haya ni manyanyaso.