Endelea kuwadanganya mambumbumbu wenzioGreetings!
Simba Sports Club ( Wana Lunyasi) wameshika nafasi ya 6 kati ya timu 30 bora barani Africa, kwa mujibu wa list iliyotolewa leo mapema na shirikisho la soka Africa (CAF). Zaidi ya hilo ni kwamba Simba imekuwa timu ya 2 kwa ubora kusini mwa jangwa la Sahara, ikiwa nyuma ya Mamelodi Sundown ya Africa kusini. Na imekuwa ni club bora ya kwanza Afrika Mashariki na Kati... Maana yake ni kwamba ni rasmi imeipiku Tp Mazembe. Haya wale wa kununa wanune....kama timu yako huioni hapo kubali ukweli timu yako bado sanaaa
View attachment 2038385
sioni cha kukujibu. Sluggish!Kolokwinyo uwe na uelewa basi,naona unajibu kwa kupanic!au ndio sababu nafasi ya 6 bora ya kichupli imeshtukiwa!
Afrika si wa 389.?Afrika wao ni wa 93 na Kidunia ni wa 609.
Na ndipo nyani wanapokwama,wao kipimo chao ni kuifunga Simba tu basi. Ndiyo maana kwenye CAF ratings wako nafasi ya 87 lakini haiwaumi. Hawa mbwakoko shida sanaB
Ubora haupimwi kwa mwechi moja ya jumamosi.
Na itakuua haki hamia unyamanj bwana timu sio ndoa au ndugu yakoπππ utopwinyo utokabwiliWhy calling us "utopwinyo"πππ nacheka sanaa ila acha Yanga iniue sijawahi kuipenda Simba.
Aibu nimeona Mimi dah!!View attachment 2038415
Utopolo ya Mia ngapi huko [emoji23][emoji23] Hii hapa kwenye orodha ya Club za dunia