kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 222
- 515
Za ndani saana, utaribu wa mageuzi makubwa ya kimpira utaanza baada ya dirisha dogo January. Club kubwa barani afrika inameanza hatua mahsusi za kuweka base kubwa ya kimpira visiwani Zanzibar.
Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na hakuna anaeshuhulika nao kwa mana ya kudhibiti takataka zinazoendelea. Kikao cha usiku wa manane kimependekeza kuwa msimu ujao ni Zanzibar na kinaandaa taratibu za kualika timu zifuatazo katika ligi hiyo ya Zanzibar 1. Al hilal Omduman, Al merlek, Gormahia, Tasker, APR na Vital O ya Burundi.
Dhumuni la uamuzi huu ni kutimiza ndoto za kimashindano pasipo uswahili, kuchanganya mpira na siasa na maslahi ya wahuni wachache.
Nimekaa paleee mtaikumbuka post hii
Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na hakuna anaeshuhulika nao kwa mana ya kudhibiti takataka zinazoendelea. Kikao cha usiku wa manane kimependekeza kuwa msimu ujao ni Zanzibar na kinaandaa taratibu za kualika timu zifuatazo katika ligi hiyo ya Zanzibar 1. Al hilal Omduman, Al merlek, Gormahia, Tasker, APR na Vital O ya Burundi.
Dhumuni la uamuzi huu ni kutimiza ndoto za kimashindano pasipo uswahili, kuchanganya mpira na siasa na maslahi ya wahuni wachache.
Nimekaa paleee mtaikumbuka post hii