SIMBA SPORTS CLUB KUVUNA Bilioni 5.6 ikitwaa kombe Club bingwa Afrika

TIFU TIFU ya MIKIA FC watupu.
 
Acha kuteseka hakuna team isiyofungika
 
Reactions: Tui
Sijawahi ona mashabiki wenye roho mbaya kama wa Yanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani Simba kuombewa mazuri wao wanaumia
Mazuri yafuate sheria na kanuni. Hakuna team special Tanzania zaidi ya Mabingwa wa kihistoria.
Dirisha la usajili ligi ya ndani likifungwa, that is it!
CAF inaruhusu lakini kama hajashiriki mashindanoni mwaka huo. Kipi kigumu hapo Kiongozi? Hakuna roho mbaya zaidi ya kuzingatia kanuni na sheria.
 
If wishes were horses then all simba fans would build castles in the air and if every Simba fans wish came true then all simba fans led by Manara would ride hyenas !
 
Watu wanafungwa na mashujaa huo ubingwa watausikia kwa mbali sana.
Mashujaaaaaaaaa
 
zilizofauru = zilizofaulu
itafauru = itafaulu
 
zilizofauru = zilizofaulu
itafauru = itafaulu

Ni shule au wewe?
 
wakati Simba ikipanga mkakati wa kuingia nusu faili ya klabu bingwa afrika wale wa kimataifa feki wanahaha kuingia nusu fainali ya kombe la shirikisho halafu wanataka kushindana na sisi
 


Sasa Simba ipo Robo unadhani imestahili ukizingatia wenye mashindano uliowataja?
 
Sasa Simba ipo Robo unadhani imestahili ukizingatia wenye mashindano uliowataja?

robo fainali hata horoya imeingia.. huwez ukasema ni kigogo cha soko.. soka yupo robo fainali kibahati.. kama korea alivyofika nusu fainali kombe la dunia.. huwez sema ni kigogo..

lyon anafika nusu fainali za uefa sana tu huwez kusema yupo level moja na bayern, madrid, barcelona etc. .

simba ni timu ndogo sana kwa hizo nilizozitaja..
 
Una wivu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Leicester city alipochukua ubingwa ENGLAND alikuwa kigogo?
Vipi Fc Porto ya Mourinho ilipochukua ligi ya mabingwa Ulaya 2013/2014 nayo ilikuwa kigogo na bado ni kigogo sivyo?

Hivi Real Madrid, Barcelona na Bayern wao huchukua klabu bingwa kila mwaka kwa kuwa wao ni vigogo?
 
Lyon ya zamunda au ya Aulas
kote hakufai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…