vipi hao wachezaji wanne kuanza kwa pamoja haiwezi kutuletea athari? maana wapinzani wanaweza wakadai tumechezesha wageni wengi na kuna kipindi ilikuwa wageni watatu wanaanza na kumaliza watano
nifafanulieni hili
Mpira wa sunzu ni mkubwa labda kwa kuwa hajafunga ndiyo maana lakini mchano wake kwenye timu ni mkubwa sana amesumbua sana beki ya JKT Oljoro yaani mpaka mwishoni wamekasilika wakaanza kucheza rafu na kuwapiga vidole kwenye masaburi hali ambayo imepelekea Sunzu kupewa kadi nyekundu baada kumpiga kofi mchezaji wa Oljro....watangazaji wa rtd oh sorry tbc taifa wamedai sunzu hajafanya lolote mpaka sasa, hebu tupe ukweli halisi
Mkuu kumbe na wewe umewaona hahahhaahahahaKwenye msafara wa Simba uku wakisindikizwa na mashabiki wao uku mashabiki wakiimba Cmba, Chadema uku wakiwa wamebeba bendera ya chadema
Nakubaliana na wewe Sunzu anajua kuutumia urefu wake na ataisaidia simba kwa mechi zote atakazopagwa na kochaMpira wa sunzu ni mkubwa labda kwa kuwa hajafunga ndiyo maana lakini mchano wake kwenye timu ni mkubwa sana amesumbua sana beki ya JKT Oljoro yaani mpaka mwishoni wamekasilika wakaanza kucheza rafu na kuwapiga vidole kwenye masaburi hali ambayo imepelekea Sunzu kupewa kadi nyekundu baada kumpiga kofi mchezaji wa Oljro....
Sunzu anajua kutumia urefu wake kitu ambacho simba wanamtumia kuokoa kona wanapokuwa wanashambuliwa, anajua kukaa kwenye nafsi, pasi zake hazi potei hovyo yaani kama simba itamtumia ipasavyo basi ligi kuu timu pinzani watapata shida sana...
Simba 2 na KJT Oljoro 0....jamani matokeo ya full time
Hongereni naona mwaka wenu.( Off topic:Hivi ile kesi ya Uli na Takukuru iliishia wapi?)Mkuu kumbe na wewe umewaona hahahhaahahaha
kwa kweli sijui nini kiliendelea kwenye hiyo kesi...Hongereni naona mwaka wenu.( Off topic:Hivi ile kesi ya Uli na Takukuru iliishia wapi?)
tuko pamoja kamandajamani leo tupo mkwakwani twacheza na coastal union
so far tunaongoza bao moja bila, update zitafuata
Asante kwa kutujulisha matokeo ya mechi za leoelsewhere toto africa 1 ruvu shooting 0
penati