mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
watoto wamekomaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh!!! hii balaa: but i hope 2nd half score-board will read differently.watoto wamekomaa
Mnaweza kusawazisha na kushinda maana Villa wapo pungufu,mchezaji wao mmoja kalambwa Red card....mh!!! hii balaa: but i hope 2nd half score-board will read differently.
Villa Squad wapo 8 uwanjani....
Tatizo hawana mipango....Kila mchezji anataka kufunga tu hivyo kuwa vurugu pale mbele.....Hapa ushindi kwa simba, washindwe wenyewe!
Mnaweza kusawazisha na kushinda maana Villa wapo pungufu,mchezaji wao mmoja kalambwa Red card....
Nini tena Okwi.................
Anakosa goli la wazi kabisa hapa
Tuombe mungumh!!! hii balaa: but i hope 2nd half score-board will read differently.