Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Mtibwa wanakosa goli la wazi kabisa......Asante kwa Kaseja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafisango kwa sasa ndo mpiga Penati mzuri kwa Simba, basi leo tu mambo yamemwendea vibaya, wapiga penati wengine wazuri ni Mwinyi Kazimoto, Kaseja, Victor Costa.Ni lazima mshinde leo mkuu maana Azam anaongoza goli moja mpaka sasa....
Na mtakuwa game moja zaidi ya Yanga....
Naona Mtibwa wanawashambulia sasa....
Halafu nimegundua kitu kimoja.....Bado hamna wapiga penati wazuri.......
Well-done-KasejaMtibwa wanakosa goli la wazi kabisa......Asante kwa Kaseja
....hata Shomari Kapombe naye ni mzuri ktk penati.Mafisango kwa sasa ndo mpiga Penati mzuri kwa Simba, basi leo tu mambo yamemwendea vibaya, wapiga penati wengine wazuri ni Mwinyi Kazimoto, Kaseja, Victor Costa.
Bala....thanx for y're time to time updates, but....how do you see the pace of the match in the pitch!!!!!Dakika ya 80
Mtibwa 1-2 Simba
50-50Bala....thanx for y're time to time updates, but....how do you see the pace of the match in the pitch!!!!!
Ok!!!!50-50
Timu zote zinashambuliana na Thank God kwa makipa wote wawili Juma Kaseja na Deo Munishi 'Dida'
Dakika 4 za nyongeza...
Ushukuriwe sana Balatanda kwa updates.Mpira umekwisha
Fina Score
Mtibwa 1-2 Simba
Hongereni sana watani...
Mpira umekwisha
Fina Score
Mtibwa 1-2 Simba
Hongereni sana watani...
Mpira umekwisha
Final Score
Mtibwa 1-2 Simba
Hongereni sana watani...
Mpira umekwisha
Final Score
Mtibwa 1-2 Simba
Hongereni sana watani...