Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Naona viti viko wazi vya ''rangi ya chungwa'' kama vipi hama ili ui-enjoy kabumbu kiongozi.
Mkuu rangi ya chungwa bei kubwa, mie nimelipia vya hela ndogo, Simba naona hatuna bahati ila hawa jamaa walikuwa wetu kabisa.
 
Mnyama hongera sana, niwape pole watani zangu maana nilikuwa nao huku jukwaani kwao wamenuna kama nini, Balatanda waambie wenzako wawe kama wewe maana hata mnyama akishinda hununi kama hawa niliokuwa nao jukwaani.
 
Back
Top Bottom