Ahsante Mkuu, vipi Azam manake leo tunaweza kutangaza ubingwa. safari leo itapanda kwelihapana hujakosea: kipute kinaendelea Uwanja wa Taifa na Mnyama tayari anaogoza kwa goli 1 mfunganji ni Mafisango; na sasa hivi ni dk ya 22 kipindi cha kwanza
Azam 1-1 Mtibwa mechi inaendeleaAhsante Mkuu, vipi Azam manake leo tunaweza kutangaza ubingwa. safari leo itapanda kweli
Azam bado ni 1-1 japo Mtibwa wanacheza pungufu.Hongera Mnyama...Azam nae vipi??
Kazi imekwisha: mechi ijayo Simba itawachezesha vijana wa Simba B kuwapa mazoezi.Simba Bingwa...............
Simba Bingwa...............
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Hongera Mnyama, hongera Taifa Kubwa.
Simba Bingwa...............
simba hajawa bingwa maana mechi ya azam ni Mtibwa waliogomea penati na hivuo kikanuni azam ana point tatu voyovyote iwavyo, so simba anatakiwa kwanza atoe sare walau mechi ijayo kujitangazia ubingwa, anything can happen, subirini kwanza msishangilie leo
bado pointi moja mkuu
azam wamezidi kuhonga kila mechi yao ni kizaazaa!simba hajawa bingwa maana mechi ya azam ni Mtibwa waliogomea penati na hivuo kikanuni azam ana point tatu voyovyote iwavyo, so simba anatakiwa kwanza atoe sare walau mechi ijayo kujitangazia ubingwa, anything can happen, subirini kwanza msishangilie leo