Kama huipendi Simba lazima utajilaumu,mambo yote mazuri ni Lion never sleep! Raha kabisa nadhani kwa matokeo haya hata ugali bila mboga unaumaliza wote! Hureeee.
 
Kwa leo huna maana hiyo,najua hata kimoyomoyo matokeo yamekufurahisha sana. Simba inapeperusha vema flag
kuna jamaa aliedit hii picha akanitumi kabla ya gemu sasa hivi simuoni
 
Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Tanzania na soka lake
 
Kuna mwenye picha jamani, maana hata yule mwana yanga hajaweka bado.
 
Simba Bingwa 2012 kabla ligi haijaisha. Kama Real Madrid walah. Jumapili tunakijaribu kikosi chetu cha pili kucheza na wakuda wa jangwani. Kikosi cha kwanza kitakuwa kinafanya mazoezi ya ligi za Wanaume Wenzentu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…