hawa ndio wale waliokufungeni au city nyengine..
Ndiyo hawa mkuu lakini leo wameutafuta kwa tochi jipangeni mana simba ya sasa ninapiga chenga balaa...
naisubiri hiyo tarehe nane mkuu..
Njomba, Chimba chi nchezo, anafanya kutisha nnyama nkali aka wekundu wa nsimbazi
Timu ndo ziko uwanjani zinapasha pasha misuli.Jamani uwanjani national leo hakuna mwana JF???
Net iko slow sana, nitajitahidi kuwaletea matukio muhimu.
Dak 30, Sofapaka wanaongoza kwa goli moja.
Ni Kenya, kwenye uwanja wa Kasarani.hii gemu ni kenya au bongo aisee..