Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
naona mbeleko FC wamepewa red mkifungwa na yanga mseme ni miango..
Hayo ni maandalizi ya kutaka kulipa deni la 5-0, but it is too late; Simba itaendelea kua mbele daima: Manji atashangaa kuona wembe unaendelea kuwa mkali na kandambili kubaki vipandevipande.
 
Hayo ni maandalizi ya kutaka kulipa deni la 5-0, but it is late; Simba itaendelea kua mbele daima: Manji atashangaa kuona wembe unaendelea kuwa mkali na kandambili kubaki vipandevipande.

yaani hapa naona tar 3 mbali acha tu..
 
MATAJI
KATIKA historia yake, Simba imetwaa jumla ya mataji 36, yakiwamo 17 ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, katika michuano mbalimbali ambayo imeshiriki tangu ianzishwe.
Mataji hayo yanajumuisha ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Muungano, Kombe la Nyerere, Kagame na Kombe la Mapinduzi.
Haya Ndiyo Mataji Yaliyochulikuwa na Simba
UBINGWA WA LIGI KUU:
1965, 1966, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1984, 1990, 1994, 1995, 2001, 2003, 2004 na 2007 (Ligi Ndogo) na 2010.
LILILOKUWA KOMBE LA NYERERE:
1984, 1995 na 2000
LILILOKUWA KOMBE LA MUUNGANO:
1993, 1994, 1995, 2001, na 2002
KOMBE LA TUSKER:

2001, 2002, 2003 na 2005
KOMBE LA CAF:
Ilifika fainali mwaka 1993
KOMBE LA KAGAME:
1974, 1991, 1992, 1995, 1996 na 2002
LIGI YA MABINGWA AFRIKA:
Kucheza hatua ya makundi 2003
KLABU BINGWA AFRIKA:
Kucheza Nusu Fainali 1974
 
Tunakuarifu Shughuli Ya Binti Mrembo Yanga Anayetarajia Kufunga Ndoa Na Kijana Mtanashati Simba Sports Club (wekundu Wa Msimbazi) Ambayo Itafanyika Tar.3.10. 2012. Mshenga ni Mtibwa Ametumwa Kupeleka gunia 3 Za mpunga kama zawad ya Kufungia Uchumba. Ukiwa Ndugu Wa Karibu Na Bwana Harusi (SIMBA) Unaombwa Kufika Uwanja wa Taifa. Atakapolishwa Keki Bibi Harusi mtarajiwa(YANGA). Kufika Kwako Ndio Ukamilisho Wa Shughuli Hii muhimu.
 
[h=5]SIMBA: Juma Kaseja, Nassor Chollo, Paul Ngalema, Juma Nyosso, Shomary Kapombe, Amri Kiemba, Edward Christopher, Mwinyi Kazimoto, Felix Sunzu, Haruna Moshi na Mrisho Ngassa.
BENCHI: Wilbert Mweta, Komabil Keta, Paschal Ochieng, Kiggi Makassy, Salum Kinje, Daniel Akuffo, Abdallah Juma na Ramadhan Chombo ‘Redondo
[/h]
 
SIMBA: Juma Kaseja, Nassor Chollo, Paul Ngalema, Juma Nyosso, Shomary Kapombe, Amri Kiemba, Edward Christopher, Mwinyi Kazimoto, Felix Sunzu, Haruna Moshi na Mrisho Ngassa.
BENCHI: Wilbert Mweta, Komabil Keta, Paschal Ochieng, Kiggi Makassy, Salum Kinje, Daniel Akuffo, Abdallah Juma na Ramadhan Chombo ‘Redondo
hawa yebo yebo kandambili tano zero manji malawama kufukuza makocha kiholela watatoka leo kweli????
wasilete timu kam VIPI.
 
SIMBA: Juma Kaseja, Nassor Chollo, Paul Ngalema, Juma Nyosso, Shomary Kapombe, Amri Kiemba, Edward Christopher, Mwinyi Kazimoto, Felix Sunzu, Haruna Moshi na Mrisho Ngassa.
BENCHI: Wilbert Mweta, Komabil Keta, Paschal Ochieng, Kiggi Makassy, Salum Kinje, Daniel Akuffo, Abdallah Juma na Ramadhan Chombo ‘Redondo

Kila la kheri mnyama. Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Simba Daaaaamu ya Kweli ni Nyekundu ukiona Njano ujue Usahaa Uchafu huo wa Njano haufai Sie Damu Safi hapa Nyekundu.
 
Haya haya kumekucha mnyama kaanza kazi, moja bila
 
mpira upo live chanel ten dk ya 15 simba wanaongoza moja
 
huyu mwamuzi wa yanga huyu.. Riziwani naskia kafanya mambo
 
Back
Top Bottom