MATAJI
KATIKA historia yake, Simba imetwaa jumla ya mataji 36, yakiwamo 17 ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, katika michuano mbalimbali ambayo imeshiriki tangu ianzishwe.
Mataji hayo yanajumuisha ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Muungano, Kombe la Nyerere, Kagame na Kombe la Mapinduzi.
Haya Ndiyo Mataji Yaliyochulikuwa na Simba
UBINGWA WA LIGI KUU:
1965, 1966, 1973, 1976, 1977, 1978, 1979, 1980, 1984, 1990, 1994, 1995, 2001, 2003, 2004 na 2007 (Ligi Ndogo) na 2010.
LILILOKUWA KOMBE LA NYERERE:
1984, 1995 na 2000
LILILOKUWA KOMBE LA MUUNGANO:
1993, 1994, 1995, 2001, na 2002
KOMBE LA TUSKER:
2001, 2002, 2003 na 2005
KOMBE LA CAF:
Ilifika fainali mwaka 1993
KOMBE LA KAGAME:
1974, 1991, 1992, 1995, 1996 na 2002
LIGI YA MABINGWA AFRIKA:
Kucheza hatua ya makundi 2003
KLABU BINGWA AFRIKA:
Kucheza Nusu Fainali 1974