First eleven walioipiga Azam 3-1 27 October 2012

Picha hisani ya Bin Zubeiry
 
yanga ndo timu pekee iliyowahi kuuza mchezaji
nje ya nchi na kung'aa katika vilabu mbali mbali
barani ulaya, mchezaji huyu alijulikana kama Nonda Shaaban al maarufu kama "papii". nonda ambaye aliwahi kutamba na mashujaa
hawa wa jangwani amepata kuchezea vilabu
kama val profesional ya south africa, FC zuurich
ya uswis, stade rennes na AS monaco zote za
ufaransa, AS roma ya italia akicheza pamoja na
francesco totti, blackburn ya uingereza na sasa anakipiga katika klabu ya galatasaray yenye
maskani yake katika uwanja wa ali sami yen
nchini uturuki.
 
1 Young Africans 12 8 2 2 23 10 13 262 Simba SC 12 6 5 1 20 10 10 233 Azam 11 6 3 2 15 9 6 214 Kagera Sugar 12 5 5 2 14 9 5 205 Coastal Union 11 5 4 2 15 12 3 196 Mtibwa Sugar 11 4 4 3 14 11 3 167 Ruvu Shooting 11 4 2 5 14 15 -1 148 JKT Oljoro 11 3 5 3 11 12 -1 149 JKT Ruvu 11 4 2 5 12 18 -6 1410 Tanzania Prisons 10 3 4 3 7 8 -1 1311 Mgambo JKT 11 3 2 6 7 12 -5 1112 Toto African 12 1 6 5 9 15 -6 913 African Lyon 12 2 3 7 8 17 -9 914 Polisi Morogoro 11 0 3 8 3 14 -11 3.mia
 
wajomba nasikia mnashika nafasi ya 3 sasa...
Haya kuweni makini mgambo nao wanakuja wangu wangu...
 
wajomba nasikia mnashika nafasi ya 3 sasa...
Haya kuweni makini mgambo nao wanakuja wangu wangu...
hapohapooo panatosha, taratibu tunaanza kutafuta nafasi yetu ya siku zote, kama tusingewapisha kidogo Wazee wa Vibalagashia wangewamaliza.
 
wachezaji wa simba bwana,yaani kuchezeshwa na marefa wa kike na mtibwa wanalegeeea,wanaachia,wanatandikwa,acheni udhaifu nyie,hadi kazini mnaendekeza mapenziiiii??
 
wajomba nasikia mnashika nafasi ya 3 sasa...
Haya kuweni makini mgambo nao wanakuja wangu wangu...
Walioko juu wote watashuka chini bado mechi nyingi na simba kukaa kwenye nafsi yake
 
kila la kheri simba chapa mtoto wa africa bila huruma
 
wazee wa mlungula leo lazima washinde wameshawapa watu mlungula nasikia refa kashapewa chake mapema asante hans pope kumbe nafasi ya kaburu unaiweza
 
Tatizo lenu mnahonga sana nyie Simba ili mshinde hapo tu ndio mnapotuboa.Nilijua mnhonga marefa tu kumbe hata wachezaji pinzani? Hizo pesa mnazohonga wachezaji timu pinzani si mngetoa kwa wachezaji wenu ili wapate motisha?
 
wazee wa mlungula leo lazima washinde wameshawapa watu mlungula nasikia refa kashapewa chake mapema asante hans pope kumbe nafasi ya kaburu unaiweza

tatzo la wabongo wengi kama wewe ni wavivu wakufuatilia na kujua ukweli wa mambo ndiyo maana taifa lipo hapa lilipo si kwenye siasa, soka, elimu hali ni ileile.
Wewe ni takukuru?umewatia hatiani waliopokea na kutoa ?shame on you all jiulizini kwanini Azam ilifukuza kocha baada ya kuchapwa na simba?na yeboyebo kwanini alifukuza kocha baada ya kulala huko Moro?
 
Tatizo lenu mnahonga sana nyie Simba ili mshinde hapo tu ndio mnapotuboa.Nilijua mnhonga marefa tu kumbe hata wachezaji pinzani? Hizo pesa mnazohonga wachezaji timu pinzani si mngetoa kwa wachezaji wenu ili wapate motisha?

uliwapa pesa ya kuhonga?Mpira wa bongo upo kimaneno zaidi kuliko vitendo kama ccm bora siku zinaenda
 
Vp mvua haijanyesha huko walipocheza leo simba, mbona mnyama anachechemea baada ya mechi kuisha? Mtasingizi kila k2, ooh mara uwanja mbovu, cjui kahongwa nani! Mtatafutana mwk huu, loh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…