ni dk ya 11 bado 0-0 ila Libolo inaoenekana wameanza kwa kasi.Wanamsimbazi tupeni updates kwa wale muliopo uwanjani.Kila la kheri mnyama simba
ni dk ya 11 bado 0-0 ila Libolo inaoenekana wameanza kwa kasi.
endelea kushangalia hivyohivyo mara tu Ngasa, Kazimoto, Bobani na Kiemba wakitumbukiza mabao yao.libolooooooooooooooooo goooooooooooooo wwanapata goli lakuongoza..
endelea kushangalia hivyohivyo mara tu Ngasa, Kazimoto, Bobani na Kiemba wakitumbukiza mabao yao.
Umeiona simba kwa siku za karibuni....Tujipange kwa ajiri ya lingi ya mwakani hata tukishinda kwa timu niliyoiona juzi hakuna kitu ila tuna vijana ambao kwa mwakani tutakuwa na timu nzuri sana...mpira ni dak 90 simba wakazane watupe ushindi wa nyumbani ni muhimu sana wapige hata 4-1
inaonyeshesha...hiyo Simba TV haionyeshi?
endelea kushangalia hivyohivyo mara tu Ngasa, Kazimoto, Bobani na Kiemba wakitumbukiza mabao yao.
Aswaaaaaa.mpira ni dak 90 simba wakazane watupe ushindi wa nyumbani ni muhimu sana wapige hata 4-1
mpira ni dak 90 simba wakazane watupe ushindi wa nyumbani ni muhimu sana wapige hata 4-1