MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Nenda jukwaa la yanga acha tusheherekee ushindi wetu. Mmekosa ya kusema mnataka tuwasifie wachezaji pinzani. Nasema ni boya tu hana lolote walio bora ni simba. Kama vipi jinyongeni mfweeee.Una uhakika? Au umeandika huku unaficha uso? Huna mchezaji kama huyo kwenye timu yako nzima