MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Nenda jukwaa la yanga acha tusheherekee ushindi wetu. Mmekosa ya kusema mnataka tuwasifie wachezaji pinzani. Nasema ni boya tu hana lolote walio bora ni simba. Kama vipi jinyongeni mfweeee.Una uhakika? Au umeandika huku unaficha uso? Huna mchezaji kama huyo kwenye timu yako nzima
Sijasema muwasifie wachezaji Wa timu pinzani,Mimi ndio nimesifia YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team"Nenda jukwaa la yanga acha tusheherekee ushindi wetu. Mmekosa ya kusema mnataka tuwasifie wachezaji pinzani. Nasema ni boya tu hana lolote walio bora ni simba. Kama vipi jinyongeni mfweeee.
Hivi yanga ndo wanaenda shirikisho?Sijasema muwasifie wachezaji Wa timu pinzani,Mimi ndio nimesifia YOUNG AFRICANS FOOTBALL CLUB "The Citizen Team"
Ishafanyika simba ipo na soura ya Algeria,vital o ya DRC,na al ahly ya misri
Yote magumu hakuna kundi jepesi. Elewa hivyo lazima zisonge mbili tu.