CripWalkin' Nephew
Member
- Apr 2, 2012
- 75
- 159
Endelea kutujuza kinachojiri mkuuJS Saoura wamepachika goli la kuongoza sasa hivi.
مشاهدة مباراة الاهلي وشبيبة الساورة بث مباشر اليوم 18-1-2019 في دوري أبطال أفريقيا - يلا شوت
Hamna tatizo wana Simba wenzangu. Kundi hili kweli ni gumu. JS Saoura inaonekana kwao wanacheza vizuri sana.
Kama kamfunga Al-haly basi hta cc hao wamisiri tunawawezaHamna tatizo wana Simba wenzangu. Kundi hili kweli ni gumu. JS Saoura inaonekana kwao wanacheza vizuri sana.
Kwa kweli mpambano ni una uwiano mzuri sana. Al Ahly ya sasa, kwa mtizamo wangu kwa kuwaona mechi hizi mbili za kwanza live, hawaonekani kuwa tishio sana. Sio kama miaka ya zamani. Wanafungika kama tukicheza kama mechi yetu ya kwanza.