Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Saafi.Sawa,nasubilia Mwadui wapate goli tu.....nimekuja kuwapa support Mwadui hapa Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saafi.Sawa,nasubilia Mwadui wapate goli tu.....nimekuja kuwapa support Mwadui hapa Taifa
Mimi ni simba damu lakini siridhishwi kabisa na namna viongozi wetu na benchi la ufundi wanavyoendesha hii timu... timu yetu imekuwa timu la makelele kwenye mitandao ya kijamii sikuhizi but ukija uwanjani hakuna kitu timu inazidi kuporomoka kiwango kila siku...wakati timu nyingine huwa zinafanya sajili zao kurekebisha sehemu dhaifu sisi simba huwa sajili zetu sijui huwa zinaangalia nini...tukubali tukatae simba sikuhizi kuna bureaucracy sana
Imepigwa njeDk'50
Simba wanapata wanapata foul karibu na 18
Ngapi ngapi kwani Mkuu huku kwangu luku imeisha. [emoji41]
Nami Simba damu sielewi usajili wanaofanya Mana tulikuwa tunaitaji mshambuliaji wao wanaleta mawinga.Mimi ni simba damu lakini siridhishwi kabisa na namna viongozi wetu na benchi la ufundi wanavyoendesha hii timu... timu yetu imekuwa timu la makelele kwenye mitandao ya kijamii sikuhizi but ukija uwanjani hakuna kitu timu inazidi kuporomoka kiwango kila siku...wakati timu nyingine huwa zinafanya sajili zao kurekebisha sehemu dhaifu sisi simba huwa sajili zetu sijui huwa zinaangalia nini...tukubali tukatae simba sikuhizi kuna bureaucracy sana
Timu sahivi ina ma straika wawili tu kagere na boko...viongozi hawayaoni haya...ikitokea wakaumia basi timu itakuwa inacheza bila mastraika...wanawarudisha wakina kichuya ambao viwango vishaisha wanawaacha wakina kotei ambao mapengo yao tangu waondoke hayajazibika na yanaonekana wazi...huenda kuna watu wapo pale simba kwa ajili ya kuvuruga timu na kuna faida wanayoipata wakivuruga timu....simba ya sasa inawatu viongozi wa ovyo sana kuliko simba zote za huko nyuma tangu nianze kuishabikia
Tangu msimu uliopita sehemu zinazohitaji marekebisho zilikuwa zinaonekana wazi..ma straika walikuwa watatu so ilitakiwa tuongeze mmoja wawe wanne na okwi wangembakisha...kama angelazimisha kuondoka ilitakiwa tuongeze mastraika wawili wazuri wa kimataifa tuwe na mastraika wanne jumla...kiungo pale kotei angebaki na beki huku nyuma tungeongeza beki mbili or tatu...moja ya kati..moja ya pembeni kumsaidia kapombe na moja kule kwa tshabalala...chakushangaza viongozi wakatuletea wale wauza matikiti wa brazilNami Simba damu sielewi usajili wanaofanya Mana tulikuwa tunaitaji mshambuliaji wao wanaleta mawinga.