Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
kaka mkubwa bado mechi ngapi SIMBA tuchkue ubingwa,nataka nianze kuzichanga ninune beberu mmoja wa sherehe kaka,
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhakika tukishinda mechi 10 mfululizo, ila wapinzani wakiharibu mechi zao 10 zijazo ndipo nasi mechi za ubingwa zitazidi kupungua, huenda tukatangaza ubingwa mapema zaidikaka mkubwa bado mechi ngapi SIMBA tuchkue ubingwa,nataka nianze kuzichanga ninune beberu mmoja wa sherehe kaka,
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaView attachment 1369077
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Tunasonga mbele kwenye #ASFC #NguvuMoja Simba Sports Club on Twitter
Muolewaji mwenyewe ameshajua siku ya kuondoka Kwa wazazi wake