nangongocho
Member
- Jun 7, 2020
- 25
- 13
alibahatisha tuTuliwazidi mbinu za kimchezo,kwani haukuona???.Mtizamo wako wewe ukoje,ni kwa nini tuliwafunga??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alibahatisha tuTuliwazidi mbinu za kimchezo,kwani haukuona???.Mtizamo wako wewe ukoje,ni kwa nini tuliwafunga??
THE POWER OF MONEY, unaiona nguvu ya pesa besti“Wanasimba wenzangu nataka niwahakikishie hakuna mchezaji wetu yoyote atakaye ondoka SIMBA, lakini pia tutasajili Mchezaji yoyote kutoka popote [emoji881]kama mwl wetu atamuhitaji kwenye kikosi chake, tutashuka wa kishindo hatuna maneno mengi lakini tupo @SimbaSCTanzania” - @moodewji https://t.co/zyWLxgqJ40
Haya mambo awaachie benchi la ufundi,,“Wanasimba wenzangu nataka niwahakikishie hakuna mchezaji wetu yoyote atakaye ondoka SIMBA, lakini pia tutasajili Mchezaji yoyote kutoka popote [emoji881]kama mwl wetu atamuhitaji kwenye kikosi chake, tutashuka wa kishindo hatuna maneno mengi lakini tupo @SimbaSCTanzania” - @moodewji https://t.co/zyWLxgqJ40
Wanageuza kibao kwa jerry muroUnapenda kumpa promo mumeo
Kagera sugar 3-0 YangaMtu akiingia humu kwa Mara ya kwanza halafu akakutana na comments za wana mikia humu anaweza akajua huwa mnashinda kihalali!
Hahahaa. Na huu uzi huwa nauogopa mana huwa mnavichambo nyiee. 🤣🤣 Si vya nchi hii. Lol.Kalale usije ukaota unakimbizwa na Simba[emoji16]
Hahahaa. Na huu uzi huwa nauogopa mana huwa mnavichambo nyiee. [emoji1787][emoji1787] Si vya nchi hii. Lol.
Kwaheri. [emoji2089]