Jinsi jamaa alivyotoa update ya kutetea ubingwa hapo juu mtu akiingia humu kwa Mara ya kwanza anaweza akadhani hii timu huwa inashinda kihalali ha ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kibingwa Zaidi.... Simba Sports Club [emoji471][emoji471][emoji471]

 
[emoji991] Wadhamini wakuu kampuni ya @tzsportpesa wakitukabidhi hundi ya Tsh. 100 milioni baada ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu #VPL 19/20. Pesa hizo zimetolewa kama sehemu ya makubaliano ya mkataba wa udhamini ambao tulisaini mwaka 2017.

Mwenye nacho huongezewa [emoji2] #VPLchampions #NguvuMoja
 
kwa mpira mwingi uliopigwa jana, acha tu Simba itawale soka la Bongo
Yanga wameahidi wachezaji mapesa,, wako radhi wavunjike miguu siku hyo,,

Ule mpira tuliocheza na Azam hutauona nakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…