Kwa aliyeangalia mechi ya simba na ndanda kuna mpira Manula alipangua baadae ukarudi kwa mchezaji wa ndanda akapiga shiti Manula akapangua tena imeonyesha kocha bado hajafanyia kazi tatizo la mabeki wetu kuruka vichwa na pia mabaki wetu wana uzembe kwani baada ya mpira wa kwanza kupanguliwa wote walisimama sehemu moja mchezaji pekee aliyekimbilia kuokoa ingawa alikuwa mbali na hakufikia mpira ni Fraga lakini wengine wote walisimama
 
Nasikia timu yetu ya mbeleko leo imeshindikana kupewa kombe letu tulilosaidiwa kulipata na tff
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…