dahhhhh kama mwanasimba nimeumia kiasi sababu senzo alikuwa mtu makini kwetu na matokeo ya uongozi wake umeonekana kwa mda mfupi tu mwisho wa siku wanasema life always moves on (maisha siku zote yanaendelea ) Simba ni zaidi ya mtu mmoja simba nguvu mmoja[emoji123]
 
Simba wampe haji kukaimu u CEO, ataipaisha simba iwe kama Man City

haji ni hadhina kubwa sana kwa mnyama
 
hili pigo kubwa kwetu,,

uzi umepoa,

wahenga wanasema ukitaka kujua umuhimu matako kalia kichwa kwanza,

ngoja tuisome kwanza
 
Hicho kikosi hakitakuwa na Defence Midfielder ?
 
Wana simba msiwe na wasi wasi tukutane kesho saa nane mchana kuna kitu kitatangazwa kwa faida
 
Tunanyonya tu mafaili kwenye laptop ya senzo,kumbe Chama hana mkataba............niachie hii picha panadol mnazo? Mmenunua yule Lunatic sisi tumejibu kea Senzo na huyu hapa

 
Haya wamekusikia wameanza na mpanda mpira na mwisho atawapanda vichwani mwenu, sisi yetu macho.
 
senzo dah,

jamaa ana misimamo yake,,

ishu itakuwa repot ya kocha nani aachwe nani achukuliwe,,
.swala morisson hakuli afiki kabisa,,

tumepoteza mtu muhim sana,,

Kwisha habari yetu

yetu macho na masikio.
"Senzo ana mwaka mmoja "tuanzie hapoo
 
Wana msimbazi tusisikitike na kukatishwa tamaa na tukio la kuondoka kwa Senzo, saizi Makonda hana kazi na kwa kuwa ni mwana simba tumpe nafasi azibe pengo lililoachwa na Senzo.

Naiminia Mikia fc timu la wakurupukaji
 
Let him go
 
Morrison amewashika pabaya mabosi wake wa zamani huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…