Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Tuwe makini tu tusije pigwa hata na Warundi maana beki yetu wamejaa wazeeKlabu ya SimbaSCTanzania imethibitisha kuwa itacheza na klabu ya Vital’O FC kutoka nchini Burundi kwenye tamasha la Simba Day siku ya Jumamosi, Agosti 22, 2020 jijini Dar es salaam.