OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Takataka kama takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo haya mambo ya kawaidaUbwana na Utwana ndani ya Bongo! Sijui manyanyaso haya yataisha lini
Husichanganye SIASA na MPIRAHuku Arusha nje ya Uwanja wa Sheikh Amri abeid kumezagaa jezi nyekundu za Wana Msimbazi alafu kwenye ghorofa la jirani na uwanja lina rangi ya kijani na njano.
Sawa,
Ila kocha alisema hawatokua sehemu ya mchezoLuis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020. #NguvuMoja https://t.co/bX0SBGkEhv
Mashabiki bado wako airpot kumsubiri yacouba [emoji38] [emoji38]Luis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020. #NguvuMoja https://t.co/bX0SBGkEhv
Yanga hajamtambulisha tu Miquissone?Luis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020. #NguvuMoja https://t.co/bX0SBGkEhv