Tuwe makini tu tusije pigwa hata na Warundi maana beki yetu wamejaa wazeeKlabu ya SimbaSCTanzania imethibitisha kuwa itacheza na klabu ya Vital’O FC kutoka nchini Burundi kwenye tamasha la Simba Day siku ya Jumamosi, Agosti 22, 2020 jijini Dar es salaam.
Una moyo wa ujasiri sana mkuu, huu uzi manyani wanaupitia mbali, social distance yake ni kilometa 100 ni zaidi ya korona.Tuwe makini tu tusije pigwa hata na Warundi maana beki yetu wamejaa wazee
Hivi upogo Simba ..umezingua sana yani kila mahala unafeli, kwanini unapenda kuchagua timu za kifala namuna hii[emoji12][emoji12][emoji12]Huu uzi unaogopwa kama ukoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule nimebeba kombe, wewe ziiiiihhhhHivi upogo Simba ..umezingua sana yani kila mahala unafeli, kwanini unapenda kuchagua timu za kifala namuna hii[emoji12][emoji12][emoji12]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hii list ya zamani, weka mpya!!...Mtoto wa Mwamedi akimpangia Mwamedi kikosi cha 5IMBA SC 2020/21
1-Mzee Aishi Manula
2-Mzee Shomary Kapombe
3-Mzee Mohamed Hussein
4-Mzee Erasto Nyoni
5-Mzee Joash Onyango
6-Mzee Jonas Mkude
7-Mzee Clatous Chama
8-Mzee Larry Bwalya
9-Mzee John Bocco
10-Mzee Meddie Kagere
11-Mzee Luis Miquissone
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja na la linaloongozwa na dada yenu moringa.ukiacha BARAZA LA MAWAZIRI, pia kuna BARAZA LA WAZEE pale Msimbazi likiongozwa na Babu Kagere[emoji1787]
Baraza la manyani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Taja na la linaloongozwa na dada yenu moringa.
Kumbe hakina Onyango na Bwalya ni wa zamani!Hii list ya zamani, weka mpya!!...
Simba kma JuventusKule nimebeba kombe, wewe ziiiiihhhh
Huku nimepiga bakitubaki zote na tunazipiga kumi, shen, typ