Utopolo ..takataka kama Takataka..

Mkia Fc

Inasemekana wana umri sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

 
Huku Arusha nje ya Uwanja wa Sheikh Amri abeid kumezagaa jezi nyekundu za Wana Msimbazi alafu kwenye ghorofa la jirani na uwanja lina rangi ya kijani na njano.
 
Luis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020. #NguvuMoja https://t.co/bX0SBGkEhv
 
Luis Miquissone na Pascal Wawa wamerejea nchini na watakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitaenda jijini Arusha kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa jumapili Agosti 30, 2020. #NguvuMoja https://t.co/bX0SBGkEhv
Mashabiki bado wako airpot kumsubiri yacouba [emoji38] [emoji38]

Naskia kapitia bandarini na boti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…