Wazee wa pira Biriani, Biriani sijui Lina maan wanahara tu Sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi kwa ajili ya timu ambayo haivuki mzunguko wa pili?
 
Namnukuu Leo Afisa habari wetu ndugu HAJI MANARA kupitia Twitter yake " tutashinda mechi 20 mfululizo kuanzia Leo" maoni Yangu huyu jamaa anawapa presha tu wachezaji mambo ya ushindi n dk 90 sjui Leo atasemaje matokeo kama yatakuwa haya mechi 2 hii tunashndwa pata point 3
 
Na mechi ndio imeisha hivyo
 
Akaongeza mpira una matokeo matatu, kushinda,sare na kufungwa,lakini leo matokeo ni ya aina moja USHINDI.
Huyu jamaa awahishwe Mirembe atakuwa na tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.
 
Hakuna mtu Mpumbavu Simba kama huyo Zeruzeru wa Uvinza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…