balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mimi naombea amani ya timu yangu tuKufungwa hakunaga nani hakuwemo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naombea amani ya timu yangu tuKufungwa hakunaga nani hakuwemo...
Siyo chuo tu ni Chuo Kikuu cha Mpira biriani bila nyama.Si yupo kwenye chuo Cha mpira [emoji23][emoji23]
Nyumani itakuwa.Masau bwile anauliza kikosi kimepanuliwa wapi
Mbele, nyuma , pembeni au wapi
NyumaMasau bwile anauliza kikosi kimepanuliwa wapi
Mbele, nyuma , pembeni au wapi
Jibu ni hiliMasau bwile anauliza kikosi kimepanuliwa wapi
Mbele, nyuma , pembeni au wapi
[emoji56][emoji23][emoji23][emoji23]unatia huruma sana aseeWe will bounce back
Simba nguvu moja
Subirini tarehe 7 maji mtatamka mmaKaria fc mnabebwa hadi inaboa. Penalty mpewe. Morison kageuka Twaha kiduku. Na bado mmefungwa.
Ila nimependa jinsi mlivyo legelege. Boko kaguswa kidogo tuu kaenda chini kama mzigo
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Hata Kashasha anajua Simba wanasaka taji la 4 mfululizoMwalimu kashasha anadai huwezi kutegemea biriani halafu wachezaji wakawa na afya bora ya kucheza mpira!
Kwani Chama yupo uwanjani, mbona simuoni[emoji3]Chama na kapombe si wapande juu mbona watu wanalalamika huku
4G Ndio size yenu midomo mirefu nyieMume chomoa na mavi jana.
Mechi ijayo, tukisha chomeka tume chomeka, hamta chomoa tena.