Tuko pamojaTafadhali subscribe kwenye youbtube chanel ya simba scView attachment 1626519View attachment 1626520
Kwa hiyo mwamedi anatuona sisi wapuuzi sana mbona FCC wanakanusha maneno yake aliyoyatoa siku za usoni
Mwamedi ni mjanja hata mashirika ya serikali aliyanunua hivyohivyo, masharti ameweka baada ya kuruhusiwa kuwa mwekezaji, hizo bilioni 20 anazungusha kwenye biashara zake mabaki analeta simba ndio maana anajipendekeza kwa wabunge ili wakitaka kumtoa ateteweKwa hiyo mwamedi anatuona sisi wapuuzi sana mbona FCC wanakanusha maneno yake aliyoyatoa siku za usoni
Huwezi ukaelewa we utopolo fc hayo mambo yako nje ya uwezo wako[emoji1787][emoji1787]Simba mbna haielewek kuna simba ngap?? View attachment 1631777
Mkuu, ambavyo sio saizi yako ktk masuala ya brains achana navyoSimba mbna haielewek kuna simba ngap?? View attachment 1631777
Kigwangala kawekwa sawa na fccAlafu ukisoma waraka no.6 unagundua kuna ujanja ujanja kwenye huu uwekezaji, na bila Shaka kuna kitu Dr. Kigwangala alikinusa, let's wait and see time will tell us
Mkuu watu wanajitia usomi kumbe bashite tuMkuu, ambavyo sio saizi yako ktk masuala ya brains achana navyo
Yanga wanatamani MO aweke 20BL ili wapewe Gawio na Simba.Alafu ukisoma waraka no.6 unagundua kuna ujanja ujanja kwenye huu uwekezaji, na bila Shaka kuna kitu Dr. Kigwangala alikinusa, let's wait and see time will tell us
Mwenye link ya game ya Simba v/s plateau naomba plz.Nigeria tunaenda lini?