Mtuonyeshe kama mnamchezaji anaeweza kuyafanya hayo kwenye link hapo juu ndo muoongee mikia nyinyi
Mbona utopolo wenzako wanamponda kule kwenye majukwaa yenu kwamba hakuna anachofanya uwanjani kikaleta tija? Nenda ukawatulize wenzako kwanza ndio mje humu mkiwa wamoja
 
Plateu ni Utupolo iliyozaliwa Nje Ya Ndoa....[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Moderator tubadilishieni hiyo logo ya Simba, au nyie hamtambui mabadiriko yetu sisi kama timu ya wenye nchi!!!!!?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…