Hatuna muda na ujinga wako.. tuko kimataifa na tukirudi tunabeba ubingwaMtuonyeshe kama mnamchezaji anaeweza kuyafanya hayo kwenye link hapo juu ndo muoongee mikia nyinyi
Hatuna muda na ujinga wako.. tuko kimataifa na tukirudi tunabeba ubingwa
Kuna taarifa ya kutoonyeshwa mechi ya Plateua utd v/s Simba sc.
hawa wanaigeria washamba kweli.
Sawa mkuuHahahaaaa naomba ikifika saa moja dakika 50 leo urudi hapa mwenyewe uje ujieleze vizur sa hizi ruksa kuendelea na Kazi zako
Mbona utopolo wenzako wanamponda kule kwenye majukwaa yenu kwamba hakuna anachofanya uwanjani kikaleta tija? Nenda ukawatulize wenzako kwanza ndio mje humu mkiwa wamojaMtuonyeshe kama mnamchezaji anaeweza kuyafanya hayo kwenye link hapo juu ndo muoongee mikia nyinyi
Zinauzwa 8,500 zinapatikana kwenye maduka yote ya gsmWadau naombeni kujua bei ya huo uzi na inapopatikana.View attachment 1634604
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Air manulaTanzania One [emoji91][emoji91][emoji419][emoji419]View attachment 1637961