Hawa Uto wanavyoona mnyama anafukia mashimo ya point wanaumia sana.Kama walivyowabeba kwenye mechi ya Yanga VS Simba kwa kuwapa tuta. Na wale Gwambina mlivyowaonea kwa mbeleko za marefa. Labda huangalii mechi ww
Huyu kocha ananikera anapochelewa kufanya sub-Hamna kocha hapa
Wishful thinkingNgoja tuje kukae pale
Na leo tenaMarefa wameanza tena mbeleko kwa Simba.
Una washwa washwa sana Mkuu.Hii timu imeanza kutia aibu huko Zimbabwe
Tulia iwaingie vizur jamaa bado hawajakpjoaUna washwa washwa sana Mkuu.
Sijawahi ona kocha anakera km huyuHii timu imeanza kutia aibu huko Zimbabwe
Mie nadhani si bure Dilunga mzaramo jamani huenda ameshafanya yake kwa kocha hamuoni anaona wageni tuHuyu kocha ananikera anapochelewa kufanya sub-
mfano mechi ya jana DILUNGA toka mwanzo wa mechi hakuwa na lolote la maana uwanjani zaidi ya kupoteza mipira na kujiangusha.
Itajulikana tu..Ila ukweli usemwe wachezaji wengi wa simba hawajitumi uwanjani
Kuna jambo nyuma ya pazia labda
Kuna kujituma na kukosa morali mimi nahisi la pili ndiyo linaloisumbua Klabu kwa sasa.Ila ukweli usemwe wachezaji wengi wa simba hawajitumi uwanjani
Kuna jambo nyuma ya pazia labda