BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Utelembwe Fc
Ni haki yangu kikatiba na kiimani kuwaombea kila lililo baya katika mechi zote zijazo
Ni haki yangu kikatiba na kiimani kuwaombea kila lililo baya katika mechi zote zijazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapambanie kombe la mapinduzi matukufu ya Zanzibar [emoji16][emoji23], hii Ni champions league, siyo mlandege vs utopolo.UTEREMBWE FC leo mnatoka kama mlivyotoka kwa UD SONGO
Simba pia si imo kwenye michuano ya kombe la mapinduzi? Vipi timu ya Simba ina malengo yapi juu ya kombe hili la mapinduzi?Kapambanie kombe la mapinduzi matukufu ya Zanzibar [emoji16][emoji23], hii Ni champions league, siyo mlandege vs utopolo.
Jana mmesumbuliwa na timu daraja la Kwanza Tena inatoka pemba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunakuja huko ila ngoja tumalize jukumu la kuliwakilisha taifa [emoji1241] kwanzaSimba pia si imo kwenye michuano ya kombe la mapinduzi? Vipi timu ya Simba ina malengo yapi juu ya kombe hili la mapinduzi?
Hakuna malengo zaidi ya kuchukua hilo kombe,Simba pia si imo kwenye michuano ya kombe la mapinduzi? Vipi timu ya Simba ina malengo yapi juu ya kombe hili la mapinduzi?
Tunakuja huko ila ngoja tumalize jukumu la kuliwakilisha taifa [emoji1241] kwanza
Tunakuja huko ila ngoja tumalize jukumu la kuliwakilisha taifa [emoji1241] kwanza
Kumbe mna hamu nalo kombe la mapinduzi?Hakuna malengo zaidi ya kuchukua hilo kombe,
Ijumaa jioni kazi itaanza na Mtibwa hapo,
Hao wanatakiwa kutunzwa adabu maana kuna midomo sana ilichongwa walipotubahatisha mwaka jana.
Sio tuna hamu ila ni utaratibu wa Simba kuchukua makombeKumbe mna hamu nalo kombe la mapinduzi?
MOJA DK 44 KWA PENALTjamani matokeo yakoje