Kwenye logi hawakuwepo eeh , mambo ya sizitaki mbichi hiziKikosi cha pili kimejitahidi sana. Wanaume wenyewe walikuwa bench wakiwaangalia wadogo zao wakikipiga na Nyani FC kwenye kombe la mbuzi wa Mapinduzi. Kikosi kipana kinajiweka sawa sasa kwenda kupambana na mabingwa wenzao kwenye kombe la mabingwa
Kikosi cha pili kimejitahidi sana. Wanaume wenyewe walikuwa bench wakiwaangalia wadogo zao wakikipiga na Nyani FC kwenye kombe la mbuzi wa Mapinduzi. Kikosi kipana kinajiweka sawa sasa kwenda kupambana na mabingwa wenzao kwenye kombe la mabingwa
MetachaKikosi cha pili kimejitahidi sana. Wanaume wenyewe walikuwa bench wakiwaangalia wadogo zao wakikipiga na Nyani FC kwenye kombe la mbuzi wa Mapinduzi. Kikosi kipana kinajiweka sawa sasa kwenda kupambana na mabingwa wenzao kwenye kombe la mabingwa
FaridMetacha
Moro
Asogne
Faytoto
Mwamnyeto
Kaseke
Yasin
Acha kuficha ukweli.. robo fainal unaiona mchezo?Simba na Yanga hakn ata mmj aliefanya la maan ndan ya miaka yote io, timu ata viwanja havina, mmj atakwambia kaishia sijui robo fainal club bingw mwingne sijui bingwa wa kihistoria upuuz mtupu [emoji23]
Simba wachezaji kuna kitu wanakikosa tokea mwanzo wa mchezo molareeeeeeee ya utopolo ilikuwa juu ....
Kweli kabisaMolare ya UTO lazima iwe juu hawajanyua makwapa kuchukua kombe lolote muda mrefu
Utelembwe kumekucha
Ute bila paka mweusi ni sawa na Ihefu tu
Sawa Nyani Fc tambeni na m15 zenu ila mkumbuke mnaowatambia wana b1.5 zao champions league
Tumewazidi kwanzaSawa Nyani Fc tambeni na m15 zenu ila mkumbuke mnaowatambia wana b1.5 zao champions league
Tumewazidi kwanza
MAPINDUZI CUP FINAL
Mshindi 1 Mil 15 (Yanga)
Mshindi 2 Mil 10 (SIMBA)
Chezaji Bora mil 4
Kahata ( SIMBA )
Mfungaji bora Mil 3
Miraj (SIMBA)
Man of the match mil 1
Achieng (SIMBA)
Jumla
Yanga Mil 15
SIMBA Mil 18
Paka mweusi [emoji250] Unateseka ukiwa wapi
Unashangilia hela za Mo
Utelembwe ndio shabiki wa kwanza duniani kushangilia hela, mashabiki kwa kawaida huwa tunashangilia makombe [emoji250], kama la jana lile
Nimekupapasa mtani, kubali tu kupapasika, usiwe mbishi mtani... PAPASIKA TU [emoji1787][emoji1787]
Hawa wote ni sawa na Clatous Chama aliyeteguka mguu wa kushotoMetacha
Moro
Asogne
Faytoto
Mwamnyeto
Kaseke
Yasin
Kunywa maji upoze koo, ushakula kipigo mambo ya hela pigeni mahesabu kwenu huko huko.Tumewazidi kwanza
MAPINDUZI CUP FINAL
Mshindi 1 Mil 15 (Yanga)
Mshindi 2 Mil 10 (SIMBA)
Chezaji Bora mil 4
Kahata ( SIMBA )
Mfungaji bora Mil 3
Miraj (SIMBA)
Man of the match mil 1
Achieng (SIMBA)
Jumla
Yanga Mil 15
SIMBA Mil 18
Anayo matatizo mengi sana, kwanza kesi uko CAS alafu busha yaani ni shida tu hata kutembea anatembea kwa shida, tunamrudisha kwao.MORRISON ANA BUSHA. HANGAIKENI KWANZA KUMTIBU