Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto kama uto kidimbwi kichura kichura chura[emoji881][emoji881][emoji881]
Mpira uliochezwa leo hata akina Lewandowski wangepakatwaMnaonaje mechi ijayo mkiwaleta Bayern jamani?
Bado wewe ujeee uchezee wpoo sasaMarudiano mtapigwa nyingi sana
Walijipanga kuzomea wale VyuraYanga walikua wanafundishana kiarabu.eti "waheed" ni moja..
"thalatha"ni tatu.
" khamsa"ni tano.
We mi simba usinifananishe na upuuziUto kama uto kidimbwi kichura kichura chura
King ,Konde achunguzwe atakuja kuuwa kipaAmkeni amkeni tuwakumbushe Uto wawahi Makazini manake wamelala na sonono jana.
Hatutashangaa, mtu kwao. Tunahitaji kushinda mechi 1 na kufungwa zilizobaki bado tunakuwa salama. Wana point tatu tatu na zote wamepata kwa el merekh. Huyo tutazaa naye point 3 na vita akija tunadro.Marudiano mtapigwa nyingi sana
Haina impact yeyote kwenye utalii kwa sasa..futeni mnatia aibu tu..Hatufuti na hakuna unachoweza kutufanya
Huyu Konde boy anacheza kwa kujituma utafikiri alizaliwa Kariakoo.King ,Konde achunguzwe atakuja kuuwa kipa
Mwaka huu mtasema sana hadi mdondoshe ulimiSISI MIKIA FC TUNA UHAKIKA TUKIENDA MISRI TUTAOGA GOLI ZA KUTOSHA.
ENEWEI KILA ASHINDE KWAO[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Haina impact wewe ndio Waziri au UTO P?Haina impact yeyote kwenye utalii kwa sasa..futeni mnatia aibu tu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app