Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
Hatuna chuki na Manara ila tuna mapenzi na timu yetu, sababu yoyote ile inayoleta matokeo mabaya tutaisema!!! Moja wapo ni Kauli zisizo za kimpira za msemaji wetu zinazo tumiwa na wapinzani kuwapa morali wachezaji wao kuikamia SIMBA SC!!
Una uelewa mkubwa ni ngumu mtu wa low IQ kukusoma
 
E5tnuMRXEAAGKgY.jpg
E5tntWGXIAYqNuQ.jpg
E5tnsp1XEAMeiIx.jpg
E5tnp0FXIAIR0wy.jpg
 
Barnabs na Manara kimeumana hukooo, hivi CAS hukumu Ni lini vilee?
 
Modomo wote wa kutukana waandish kumbe
N Kwa nguvu ya laki 7 Tu Kwa mwez
Na hakuna mkataba[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Modomo wote wa kutukana waandish kumbe
N Kwa nguvu ya laki 7 Tu Kwa mwez
Na hakuna mkataba[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bora yeye laki 7 waandishi wa habari uwa hawalipiwi kabsa
 
Bora yeye laki 7 waandishi wa habari uwa hawalipiwi kabsa
Kama hawalipwi wanapata wapi nguvu
Ya kwenda kwenye press

Kwa matus yale anayatoa Kwa
Waandish alaf anasubir laki
7 Kwa mwez inaonekana alivombumbu
Kabsa
 
Haji ni mwanasiasa.
Na ni mjuzi wa propaganda.
Miongoni mwa Watu waliopelekea kuharibika kwa mambo mengi ya kisoka ni huyu Mtu.

Miaka ya Nyuma kabla mipira haijawa na hawa maafisa habari na wasemaji mbumbumbu soka letu halikuwa na mauongo ya namna hii.

Baada ya kushindwa kusimamia kazi yake kwa kushindwa kuwaeleza wana Simba mambo yanayoihusu timu yao yeye akabubi mbinu ili aendelee kula tu hapo Simba.

Haji akaamua kuingilia mambo ya Yanga, akaanza kukashifu harakati za Yanga, akaamua kuwaita Yanga kila jina ili mradi tu ateke vichwa vya washabiki oyaoya ili apate sapoti.

Kwa hili alifanikiwa lakini ni kwa wapuuzi tu.
Watu wenye akili siku zote hawazikibali harakati za Haji, kwa maana hazina tija kwa soka la kisasa.

Wana Simba wanatakiwa waelezwe na wajue mifumo ya uchezaji, wajue vyanzo vya mapato, malengo na kujuwa namna gani timu yao inajiandaa kwa ajili ya msimu ujao.
Wana Simba wanatakiwa wajue timu yao imelenga kuwasajili akina nani kwa sasa ili kuweza kuleta ushindani kwenye ligi ya mabingwa msimu ujao.

Pia wanasimba wanapaswa kuelezwa mapato na matumizi ya klabu yao, wanapaswa waelezwe mikataba ilioingiwa na klabu yao na kujuwa mambo ya msingi klabuni hapo.

Lakini yoote hayo bado yanabaki kuwa ni siri na msemaji wa klabu haelezi chochote zaidi ya kuhangaika kwenye mitandao ya kijamii akionesha kumpa milioni moja Mzee Mpili.

Hizi ni mbinu mbovu ambazo Haji amebaki nazo na ndio silaha pekee inayomuweka klabuni hapo kwa maana Simba wengi wao ni mbumbumbu na wanafurahishwa sana na porojo za Haji dhidi ya Yanga.

Amini amini nawaambieni hii ishu ya Babra na Haji ni porojo ya kutengenezwa ili tu iwavuruge Yanga na washindwe kujiandaa na Mchezo wao wa Jumapili.
Lakini kwa Bahati mbaya Yanga wameushtukia na wao wanasonga mbele huku wakijiandaa kikamilifu na mchezo dhidi ya watani wao.

Jiulize kwanini kila siku anaeonewa ni Haji tu?!
Mara Haji vs TFF, mara Haji dhidi ya Katabazi, mara Haji vs Waandishi wa Gazeti fulani, mara Haji dhidi ya Kitenge, mara Haji dhidi ya uongozi wa Yanga, mara Haji dhidi ya Kitenge, mara Haji dhidi ya viongozi wenzie wa Simba, mara Haji dhidi ya Babra...
Yeye ni nani haswa mpaka aonewe kila siku?!

Kwa kifupi Haji kaishiwa na ametoka kwenye uhalisia wa kazi yake na kujikita kwenye mipasho, kebehi, blabla, porojo na propaganda.
Haji haongei ya maana bali kila akitoa habari ni za kejeli dhidi ya Yanga.
Wana Simba wanapaswa kuamka sasa na kuwa imara kujuwa mambo ya maana yanayoihusu timu yao na sio hizi audio za kipuuzi tu.
 
TAFAKURI NJE YA 18
.
.
Kifupi hata Kuachia Video Clip kwa Mzee Pope ni kosa la kiweledi kama alilofanya Haji Manara.
.
Manara ni kiongozi wa Habari wa klabu hio ametoa Habari isiyo na Maslahi chanya na mapama ya Simba kama timu na taasisi, hasa kuelekea Derby
.
Hans Pope ni kiongozi mkongwe Wa klabu hio hio na Mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Klabu ya Simba , ametoa sehemu yake ya ushauri na chagizo la kimaamuzi kwa upande wake Kama moja ya viongozi wa juu wa klabu watakaokaa kikao cha bodi kujadili matendo ya mwajiriwa wao na kutoa maamuzi
.
Kiufupi unprofessionalism displays Simba zimekuwa na sura ile ile huku wahusika wakiwa na sura tofauti.
.
Kama hii ni mind game basi ni mission very much poorly scripted.
.
Ila kama hii ni reality , Simba must get their issues together Administrative way professionally as a serious institution under transformation .
.
Society haina Veto power in decision ya haya mambo yao , Wanatupa siri zisizohitajika na irrelevant.
.
Kila mtu anapitia changamoto zake kubwa tena dunia ya sasa,
.
Huyu mama mjamzito asiye na kipato na kaachika akalilie kwa nani?
.
Huyu Baba tegemezi la ukoo aliyefukuzwa kazi jioni ya leo kutokana na kampuni kufanya demotion na redundancy ishu ikiwa kupunguza matumizi ya kitaasisi uchumi umekaba chozi lake la WhatsApp voicenote akatume WhatsApp group ya nani?
.
.
Azam wawekeze billions halafu wakose vibe kwenda Fainali za ASFC kule kigoma on digital platforms kisa Nyie Simba mmeshindwa kudili na Confidentiality and sensitivity management ndani ya taasisi zenu mnaanikana?
.

Guys tunataka mpira hatutaki Kiki na drama toka katika klabu za mpira
 
TAFAKURI NJE YA 18
.
.
Kifupi hata Kuachia Video Clip kwa Mzee Pope ni kosa la kiweledi kama alilofanya Haji Manara.
.
Manara ni kiongozi wa Habari wa klabu hio ametoa Habari isiyo na Maslahi chanya na mapama ya Simba kama timu na taasisi, hasa kuelekea Derby
.
Hans Pope ni kiongozi mkongwe Wa klabu hio hio na Mmoja wa wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Klabu ya Simba , ametoa sehemu yake ya ushauri na chagizo la kimaamuzi kwa upande wake Kama moja ya viongozi wa juu wa klabu watakaokaa kikao cha bodi kujadili matendo ya mwajiriwa wao na kutoa maamuzi
.
Kiufupi unprofessionalism displays Simba zimekuwa na sura ile ile huku wahusika wakiwa na sura tofauti.
.
Kama hii ni mind game basi ni mission very much poorly scripted.
.
Ila kama hii ni reality , Simba must get their issues together Administrative way professionally as a serious institution under transformation .
.
Society haina Veto power in decision ya haya mambo yao , Wanatupa siri zisizohitajika na irrelevant.
.
Kila mtu anapitia changamoto zake kubwa tena dunia ya sasa,
.
Huyu mama mjamzito asiye na kipato na kaachika akalilie kwa nani?
.
Huyu Baba tegemezi la ukoo aliyefukuzwa kazi jioni ya leo kutokana na kampuni kufanya demotion na redundancy ishu ikiwa kupunguza matumizi ya kitaasisi uchumi umekaba chozi lake la WhatsApp voicenote akatume WhatsApp group ya nani?
.
.
Azam wawekeze billions halafu wakose vibe kwenda Fainali za ASFC kule kigoma on digital platforms kisa Nyie Simba mmeshindwa kudili na Confidentiality and sensitivity management ndani ya taasisi zenu mnaanikana?
.

Guys tunataka mpira hatutaki Kiki na drama toka katika klabu za mpira
Well Sayed !! Hii ishu inaonyesha bado kuna madhaifu makubwa ya system kwenye kuibadili Simba kuwa kama institution,

And if it's a mind game basi mda huu imefeli hawajagain any positive response, zaidi ya criticism tena kwa mashabiki zao kidakindaki na viongozi wa Simba

Na upande wa pili wako bize na Derby.

Let's keep on the Drama... Football kiwanjani dakika tisini
 
Back
Top Bottom