shebishenko
Member
- Aug 3, 2021
- 20
- 26
chuma kipyaView attachment 1880243
Yusuf Mhilu ni mnyama [emoji881][emoji881]
Hana maajabu huyu dogo tumepoteza hela hapaView attachment 1880243
Yusuf Mhilu ni mnyama [emoji881][emoji881]
Hana maajabu huyu dogo tumepoteza hela hapa
Hana maajabu na kikosini hataongeza chochote zaidi ya pace tu.Muda utasema
Fact tupu,yani ume focus kuona mbele pia tuendapo.Kwenye usajili wa Peter Banda ni perfect kabisa
Israel Patrick Mwenda good future investment
Sasa tuna fullbacks wawili wachanga tena wazuri sana David Kameta
Israel Patrick Mwenda
Tukipata na Midfielder mchanga kama backup plan kwa kina Mkude na Lwanga tutakuwa vizuri sana.
Kelvin Nashon Naftali would be a good signing
Chama naye vp?.[emoji23][emoji23][emoji23]Dili la konde boy limeishia wapi make naona hakusafiri na kikosi jana
daaaaah ngoja tuon e...ila uzuri ni biashara nzuriChama naye vp?.[emoji23][emoji23][emoji23]
Wote wawili wanaondoka but no problem tutafanya usajili mzuri tenaChama naye vp?.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna biashara hapo kaondoka free Ila wahusika hawataki kusema ukwelidaaaaah ngoja tuon e...ila uzuri ni biashara nzuri
Alikutia vocal ?Hivi kumbe kosa la mkude lilikua kutia voko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alimtia mamaQAlikutia vocal ?
Mbona umewaka vipi mabwana zako walishakupelekea moto?Alimtia mamaQ