Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Leo hamkua na bahati, ila kule Botswana bahati ndio iliyowabeba mlikuwa mnaruka ruka mkaokoteza magoli ya ndondokela.Leo hatukuwa na bahati kabisa magoli tulokosa hongera zake kwa kipa wao aisee ila lile goli la pili uzembe wa Manula na Wawa
Galaxy!Nikisema Jwaneng, malizika Galaxy
Haya
Jwaneng ...
Jwaneng ...
Jwaneng ...
[emoji1787][emoji1787]
Yeye mbona ameuza Chama na Mikisoni hakuna aliyemchukulia hatua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaeni kwa kutulia MakoloMwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji ameushauri uongozi wa klabu hiyo kuwachukulia hatua madhubuti waliohusika Simba kupoteza mchezo wa leo na kutolewa Klabu Bingwa Afrika, na kwamba kilichotokea hakikubali.
Simba imetolewa kwenye mashindano hayo na Jangwen Galaxy ya Botswana. https://t.co/uw2QjlZDdD
unamaanisha simba wanyasi mkuu
Nenda kwa wamama wenzionahamia yanga kwanzia leo simba ni mama
Ahaaa wapi, huko ndiyo kubaya zaidiPole ni sana watani... Naamini kwenye kombe la shirikisho mtafika mbali