Leo hatukuwa na bahati kabisa magoli tulokosa hongera zake kwa kipa wao aisee ila lile goli la pili uzembe wa Manula na Wawa
Leo hamkua na bahati, ila kule Botswana bahati ndio iliyowabeba mlikuwa mnaruka ruka mkaokoteza magoli ya ndondokela.
 
Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji ameushauri uongozi wa klabu hiyo kuwachukulia hatua madhubuti waliohusika Simba kupoteza mchezo wa leo na kutolewa Klabu Bingwa Afrika, na kwamba kilichotokea hakikubali.

Simba imetolewa kwenye mashindano hayo na Jangwen Galaxy ya Botswana. https://t.co/uw2QjlZDdD
 
Nikisema Jwaneng, malizika Galaxy

Haya

Jwaneng ...

Jwaneng ...

Jwaneng ...

[emoji1787][emoji1787]
 
Yeye mbona ameuza Chama na Mikisoni hakuna aliyemchukulia hatua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaeni kwa kutulia Makolo
 
Simba oyeeeeeeeeee! Kwa Mzee Mkapa hatoki mtu. Je katoka mtu au kabakia?

Je mmeshinda goli ngapi au mmeshinda njaa?
 
CAF Confederation Cup

POT 1
TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Zanaco FC ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ
ASEC Mimosas ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ
FC Nouadhibou ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท
AS Otoho d'Oyo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ
Rivers United ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ

POT 2
Gor Mahia FC ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
Marumo Gallants ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
JS Saoura ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
Red Arrows FC ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ
DC Motema Pembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
Al Ahli Tripoli ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ
GD Interclube ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด
Binga FC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ

POT 3
Tusker FC ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช
Royal Leopards ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ
APR FC ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ
US Gendarmerie ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช
LPRC Oilers ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ท
AS Maniema Union ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
Al Ittihad SC ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ
Stade Malien ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ
Hearts of Oak ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ

POT 4
RS Berkane ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ
Pyramids FC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
JS Kabylie ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
Enyimba FC ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ
CS Sfaxien ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ
Cotonsport FC ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฒ
Orlando Pirates ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
Al Masry SC ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ

POT 1
7 Highest ranked teams from Champions League

POT 2
8 Lowest ranked teams from Confederation Cup

POT 3
9 Lowest ranked teams from Champions League

POT 4
8 Highest ranked teams from Confederation Cup

Draw Procedure

POT 1 vs. POT 2

POT 4 vs. POT 3

Thank You!

#TotalEnergiesCAFCC
 
Aliyekuwa Kocha msaidizi wa Klabu ya Simba SC, Thierry Hitimana amekuwa Kocha Mkuu wa Simba katika kipindi hiki cha mpito akisaidiwa na Selemani Matola.

Hitimana anakamata nafasi hiyo baada ya Simba kuachana na Kocha Mkuu M-faransa Didier Gomes Da Rosa.

Gomez aliajiriwa Simba SC msimu uliopita kuchukua nafasi ya Sven Vandebroek ambaye aliachana na Simba SC kwa madai ya majukumu ya kifamilia lakini baadae akaibukia klabu ya FAR RABAT ya Morocco.

Kwenye Ligi ya nyumbani aliiongoza Simba kushinda Ligi Kuu kwa mara ya 4 mfululizo na Kombe la FA mara ya pili mtawalia.

Simba imetwaa vikombe 4 na makocha tofauti tofauti Pierre Lechante, Patrick Aussems, Sven Vandebroke na Didier Gomez.

Gomez pia aliibuka Kocha bora wa msimu wa Ligi Kuu kwenye tuzo za TFF ambazo zilitawaliwa na Simba SC zilizofanyika tarehe 21.10.2021.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ