The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Adi Bocco duuuhh huu sasa uchale [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Junior Ajay
2. Yaw Annor
3. Frank Mbella Etourga
4. John Bocco
5. Abubakary Nassir
6. Ricky Banda
Hao niliokutajia they are far better than Mayele.
Angekuwa siyo size ya NBC usingemuona huku.Hao wote uliowataja sio size ya Mayele, huyu sio level za NBC mzee sema basi tu.
Bocco kwenye ligi hii ameshabeba kiatu mara nyingi tu.Adi Bocco duuuhh huu sasa uchale [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bocco alikuwa mfungaji bora kwenye ligi isiyokuwa na ushindani kama ya sasa.Bocco kwenye ligi hii ameshabeba kiatu mara nyingi tu.
Umemtaja Bocco kwa sababu hao wengine bila shaka huwajui.
Wanacheza hovyo sanaHawa wauza sembe wako hovyo sn.
Bocco na Mayele..... kweli Ngada FC zimewakolea.1. Junior Ajay
2. Yaw Annor
3. Frank Mbella Etourga
4. John Bocco
5. Abubakary Nassir
6. Ricky Banda
Hao niliokutajia they are far better than Mayele.
Kwa hiyo ligi ya ushindani imeanza mwaka gan? unajua unayemfanisha na bocco hajawahi kuchukua kabisa kiatu cha mfungaji Bora? ni wazi kwamba bocco kazeeka na mayele yupo katika ubora wake Kwa sasa Ila Hilo lisifanye tukajipofusha kuona yaliyofanywa na wengine, bocco anakimbiza rekodi ya top scorers wa muda wote ligi kuu, tambwe kachukua mara kadhaa kiatu akiwa Simba na Yanga. Mayele hata akichukua kiatu mwaka huu bado ana Safari ndefu kufikia rekodi za wenzake, hajafika hata nusu ya mafanikio ya wenzakeBocco alikuwa mfungaji bora kwenye ligi isiyokuwa na ushindani kama ya sasa.
1. Junior Ajay
2. Yaw Annor
3. Frank Mbella Etourga
4. John Bocco
5. Abubakary Nassir
6. Ricky Banda
Hao niliokutajia they are far better than Mayele.
Unachoshindwa kujua ni kwamba John Bocco ndiyo mwenye rekodi kubwa zaidi ya mchezaji yoyote aliyewahi kuicheza ligi kuu Tanzania bara akiwa ndiyo record goal scorer.John Bocco??!, We Ni Mlevi Wa Mataputapu Nn [emoji28]
Kupata vichekesho kama hivi [emoji3516][emoji3516] tubonyeze wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo ligi ya ushindani imeanza mwaka gan? unajua unayemfanisha na bocco hajawahi kuchukua kabisa kiatu cha mfungaji Bora? ni wazi kwamba bocco kazeeka na mayele yupo katika ubora wake Kwa sasa Ila Hilo lisifanye tukajipofusha kuona yaliyofanywa na wengine, bocco anakimbiza rekodi ya top scorers wa muda wote ligi kuu, tambwe kachukua mara kadhaa kiatu akiwa Simba na Yanga. Mayele hata akichukua kiatu mwaka huu bado ana Safari ndefu kufikia rekodi za wenzake, hajafika hata nusu ya mafanikio ya wenzake
Hakuna kama Mayele tangu ligi ya mpira wa miguu ianze hapa Tz.Unachoshindwa kujua ni kwamba John Bocco ndiyo mwenye rekodi kubwa zaidi ya mchezaji yoyote aliyewahi kuicheza ligi kuu Tanzania bara akiwa ndiyo record goal scorer.
Ufutwe utakuwa unacomment wapi huu ujinga ?Huu uzi ufutwe.