Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread
20230203_211957.jpg
 
Hiki ni kipaji ambacho hakistahili kuendelea kubaki kwenye ligi ya Senegal.
Screenshot_20230204-112054_Twitter.jpg
 
[emoji3]Huyu jamaa alichomfanyia Bruno jana alikuwa na haki ya kupaniki mpaka akamsukuma. Alikuwa hagusi mpira kwa raha, anachezea kiatu tu
FB_IMG_16755102413725588.jpg
 
Kila nikiangalia nchi hii hakuna timu ya kushindana na Yanga kwa miaka kumi ijayo kuanzia sasa, hii inamaanisha Yanga italichukua hili kombe kwa misimu kumi na mbili mfululizo.
 
Back
Top Bottom